shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Ushamba how?
Ulimbukeni how?
Ulimbukeni how?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa aliwahi kufungwa jela,mwaka juzi au mwaka jana huko huko MwanzaMkipgwa mnaanzaa ooh ooh ohhh. Endelea kuchongoa.
Kama unatafta mashoga/choko wapo arusha mkuumji wa mwanza umejaa washamba na malimbukeni
Eeh weeh au ndo yule alikua anajihusisha na uvuvi haramu.Jamaa aliwahi kufungwa jela,mwaka juzi au mwaka jana huko huko Mwanza
Ndio unajua leo? Ongezea na sifa ya uchafu.Mji wa Mwanza umejaa washamba na malimbukeni.
Mrembo VIP?Eeh weeh au ndo yule alikua anajihusisha na uvuvi haramu.
Mana kuna mtu humu ndani ashawai nambia hivo na sikumbuki kabisa jina lake ni muda sana
Shikamoo babaMrembo VIP?
Wamekufanyaje maana hizi sentensi zinaashiria umepatwaMji wa Mwanza umejaa washamba na malimbukeni.
Weka picha tuwaone hao washamba na malimbukeni.Mji wa Mwanza umejaa washamba na malimbukeni.
Kakosea Sana kuongea ukweliMtoa mada Ni nyoko kbsa.Afu liuzi lake Ni liuzi la hovyo kabisa kuwahi kushusha humu Jf kwa mwaka huu wa 2023
Mwanza ni jiji la pili baada ya Dar !! Dar nayo imeendelezwa na wakuja, waulize wazaramu washamba wenzio watakwambia, Taja mkoa unaotokea tulinganishe maendeleo.ulimbukeni na ushamba unaozungumzia.Mji wa Mwanza umejaa washamba na malimbukeni.