Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
Lukuvi kama lukuvi ana matatizo yake na mojawapo ni kuwa hayupo pro-active na ni lay-back style of management ndo chanzo, na pili siasa kaweka mbele mno na hii ni kwasababu ili jiji aonavyo yeye lina mawaziri wote na washika dau so ilo linamtisha but kitu ambacho anaweza fanya kikampa sifa ni kama kuondoa omba omba, uchafu uliokithiri na ufanya-biashara za ovyo ovyo koz mengine yanaitaji support ya juu na kujua budget na timetable iko vipi mfano msongamano wa magari na taa za usiku za barabarani..