JIJI ZITO JAMANI: Ndoa za Ali Kiba na Roma zavunjika. Majizo kamtosa Lulu yuko na Vanesa Mdee

Dada alifikiri Kiba ni milionea, kaja kugundua ukweli baadae sana. Hivi vingine ni visingizio tu.
 
Prof.kabudi ndio nani mkuu?
 
Demu wa kiba tulikua tuna count days tuu,sabab alichotegemea from kiba sicho,wale waarab wanaolewaga na wenzao wenye pesa,sasa mbwembwe za kiba dem akaingia chaka kujua labda kiba ana fweza,kumbe kiba choka mbaya anakaa tabata kwenye ile nyumba ya pink pale .ahhahah,dem kaona huu use.nge
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Kama hizi taarifa zitakua na ukweli, mke wa Ali Kiba angeomba ushauri kwa mbunge wa kisarawe kwanza...


Cc: mahondaw
 
Kupata habari za ndani za KIBA ni ngumu KAMA KUTOA BIKRA KWA ULIMI...pole bt ahsante kwa kutuchangamsha dada.
 
Nancy kuachana na Roma sio kirahisi hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…