JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

Sijaona mahali kama DSM kwa kula bata hapo leaders jms na jpl hatariii kuna watoto unaweza sema wanatoka state kumbe mwananyamala kwa kopa na kinondoni Moscow
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umesahau tandale
 
Hata Dom mkuu… Ni visu balaa halafu cheap na siyo vibaka.

Na hawavuti bangi.
Naam inawezekana ila sasa,
Watakuwa na uhusiano mkubwa na 'Ngaribaz' kwa walio wengi.
Wakubwa nadhani mnanielewa.
 
Back
Top Bottom