JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

Tumeshaingia zamani tushakuwa wenyeji ila wageni njooni kwa tahadhari Kipya hakinyemi japo kidonda
 
Mambo yote platnumz area C huwa sipendi baba watt akinambia twende pale maana wadada wa pale ni hatari wamefungashia vile hatari japo na mimi si haba😀😀🙂
 
Mambo yote platnumz area C huwa sipendi baba watt akinambia twende pale maana wadada wa pale ni hatari wamefungashia vile hatari japo na mimi si haba😀😀🙂
Mimi ninachopendea pale ile supu yao ya makongoro ... UkinywA huku unatazama wale baamedi walivofungasha doooh!!

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
hahahahha moyo ukua kwatuuu
Haha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africa

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Dodoma , the Central Corridor and City Capital of Tanzania…

Watu (wapyawapya) wako bussy na hekaheka ni nyingi sana kila kona ya Jiji la Dodoma. Hakuna kinachoshindikana.

Kuna mabinti wengi sana 'visu' toka Singida , Manyara ( Babati, Mbulu, Kateshi..) na Arusha (Meru) kwenye viunga vya 'kula bata' ndani ya Jiji. Watoto ni wengi sana kwenye 'lounges, clubs, pubs, local bars, restaurants, massage points na saloons za kike'!

Hapa nazungumzia 15 - 23 yrs old chicks!

Kamji kazuri . Barabara safi zilizopangika katikati ya Jiji na madhara safi kabisa.

Wageni ni wengi sana.

Ikifika jioni watu wanaanza kujisogeza ' Platinumz, Rainbow, Rose Garden, Maisha Club, Morena, Chako ni chako , African Dreams, n.k'

Dodoma mambo ni motoo…

Wasalam.

Karibuni Dodoma. Wagogo ni wakalimu sana.
Hatuji,we pambana na ukimwi kivyako,na unaikumbuka kweli dar,haaaaaah haaaaah we ushaolewa na serikali kubali yaishe
 
Haha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africa

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
sijaenda bado toka wafungue papya. Kuna nini? Na nyie wanaume mnahamaga baa kuangalia misambwanda
 
Haha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africa
Halafu kama pamebanana vile. Hapo kama mnamaongezi nyeti hapafai
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Yah, pale ni pakusafishia macho tu

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Dodoma siku hizi inakuja kwa kasi sana hata kama Dar itaendelea kuwa Dar tu ila hata ukiwa Dom huwezi boreka kwa kukosa viwanja vya maraha na kula bata.. in fact watu wengi sana wa Dar wapo Dom siku hizi huwezi kuingia mahali kama Rainbow ukakosa kumjua hata mtu mmoja unayemfahamu. Ntakuwa hapo tena mwisho wa mwezi huu
Vile vile wa Dom wanataka kuja Dar, humuoni utapata taabu sana, anavyohangaika?
 
Back
Top Bottom