kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Mhh wewe huko napo pia?Hakuna sehemu kama sumbawanga kwakula bata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh wewe huko napo pia?Hakuna sehemu kama sumbawanga kwakula bata
hahahahhaaa Demiss DemissKuna sehemu nilikuona unakunywa Safari Area D[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ninachopendea pale ile supu yao ya makongoro ... UkinywA huku unatazama wale baamedi walivofungasha doooh!!Mambo yote platnumz area C huwa sipendi baba watt akinambia twende pale maana wadada wa pale ni hatari wamefungashia vile hatari japo na mimi si haba😀😀🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna sehemu kama sumbawanga kwakula bata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniKweli mkuu sumbawanga kuna bata wengi sana hata mayai ni bei rahisi kabisa
hahahahha moyo ukua kwatuuuMimi ninachopendea pale ile supu yao ya makongoro ... UkinywA huku unatazama wale baamedi walivofungasha doooh!!
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Nakwambia sasa ngoja ninyamaze tu maana ile kampany yako nayo inakunywa safar hahah nilikusikia unasema safari ya shingo nene ama nenehahahahhaaa Demiss Demiss
Hahahaha uwiiiiMambo yote platnumz area C huwa sipendi baba watt akinambia twende pale maana wadada wa pale ni hatari wamefungashia vile hatari japo na mimi si haba😀😀🙂
Haha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africahahahahha moyo ukua kwatuuu
Hatuji,we pambana na ukimwi kivyako,na unaikumbuka kweli dar,haaaaaah haaaaah we ushaolewa na serikali kubali yaisheDodoma , the Central Corridor and City Capital of Tanzania…
Watu (wapyawapya) wako bussy na hekaheka ni nyingi sana kila kona ya Jiji la Dodoma. Hakuna kinachoshindikana.
Kuna mabinti wengi sana 'visu' toka Singida , Manyara ( Babati, Mbulu, Kateshi..) na Arusha (Meru) kwenye viunga vya 'kula bata' ndani ya Jiji. Watoto ni wengi sana kwenye 'lounges, clubs, pubs, local bars, restaurants, massage points na saloons za kike'!
Hapa nazungumzia 15 - 23 yrs old chicks!
Kamji kazuri . Barabara safi zilizopangika katikati ya Jiji na madhara safi kabisa.
Wageni ni wengi sana.
Ikifika jioni watu wanaanza kujisogeza ' Platinumz, Rainbow, Rose Garden, Maisha Club, Morena, Chako ni chako , African Dreams, n.k'
Dodoma mambo ni motoo…
Wasalam.
Karibuni Dodoma. Wagogo ni wakalimu sana.
sijaenda bado toka wafungue papya. Kuna nini? Na nyie wanaume mnahamaga baa kuangalia misambwandaHaha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africa
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
helooooHahahaha uwiiii
Haha ila pale chako ni chako wamepaboresha sikuhizi mwanaume ukienda pale ukatoka ujasimamisha hata kidog basi wewe utakua na matatzio kama yule memba mwenzetu anaetaka kuwa mwanaume wa kwazna kubeba mimba africa
Halafu kama pamebanana vile. Hapo kama mnamaongezi nyeti hapafai
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Hallo my sweet dadaheloooo
Miss you. uko powaaaHallo my sweet dada
Vile vile wa Dom wanataka kuja Dar, humuoni utapata taabu sana, anavyohangaika?Dodoma siku hizi inakuja kwa kasi sana hata kama Dar itaendelea kuwa Dar tu ila hata ukiwa Dom huwezi boreka kwa kukosa viwanja vya maraha na kula bata.. in fact watu wengi sana wa Dar wapo Dom siku hizi huwezi kuingia mahali kama Rainbow ukakosa kumjua hata mtu mmoja unayemfahamu. Ntakuwa hapo tena mwisho wa mwezi huu