Jiko la gesi lilivyozima ndoto na uhai wa Familia ya Abedi Falhum Msangi

Nimekuelewa mkuu. Ila aliyeleta hii stori amefanya exaggeration nyingi sana. Mtu ambaye amezingirwa na moto hawezi kuingia na kutoka ndani mara tatu. Halafu ikawaje macho yakawa bado yanaona?
Wewe unashangaa mtu aliyeungua Moto kutembea Kuna means mwaka juzi alipata ajari mbaya ya gari akajikuta yupo amelala Rami ikaja gari nyingine ikamgonga pia
Jamaa akiwa ramini akawa anataka kuamka ila anarudi chini,kumbe ndio anakata roho hivo
Pia usiwe mvivu kusoma,humu Kuna Uzi was Yule jamaa alipigwa usoni na waya wa umeme akaungua ,alizimia week kadhaa na alipoamka alisimulia
 
Sawa mkuu, tukihoji namna hii ndio tunapata maarifa.
 
Dah poleni sana.... hiyo tarehe 23 nilikuwa huku mkoa mmojawapo wa kanda ya kati na mmoja kati ya watu wa karibu wa familia hiyo akanielezea hili tukio,,, so sad asee
 
nilipofika jikoni Bali kujali harufu ya Gesi nika'switch jiko

Tatizo lililosababisha madhara lipo hapa.
 
Ukiweza gas jengea nje, kama una uwanja wa kutosha jiko kuu na dinning lafaa liwe nje ya nyumba, nyumba ni kwa ajili ya kulala tu, wageni wanaishia nje kwenye garden
Kaka hizi ni dudra za mungu ,chukulia mfano ukishaweka mtungi wa gesi nje,je shoti ya umeme utaiweka wapi, je hujawahi kuskia nyumba imeungua kwa sbb ya hitilafu ya umeme, pia utaotoa nje umeme kikubwa ni kumuomba Allah azilinde familia zetu na Mali zetu,.Naunga mkono tahadhari ni muhim, japo alilolipanga Allah lazima litimie narudia lazima litimie tu.
 
Kosa namba waliacha gas itoke kwanza ndipo wakawasha hii ni hatari sana gasi inakuwa ishasambaa nyumba nzima so ukiwasha tu kiberiti nyumba yote inalipuka.
Inatakiwa uwashe kwanza kiberiti ndipo uwashe gas
Majiko ya gas ya plate si ni automatic?
 
Kuna maafa yalitokea kijana aliingia choo cha shimo akiwa na taa ya chemli akaona Mende wengi akachukua spray Ili awue wadudu alizalisha bomu hatari lililofumua choo na yeye
Hii imekaaje mkuu, mbona sielewi!
 
Hii stori imenisisimua sana. Siku kama tano zilizopita nilijisahau nikaacha gesi inatoka, wife alivyoingia akahisi harufu. Akafunga jiko vzr na kufungua milango na madirisha na sisi tukatoka nje. Nilijisikia vibaya sana
Uliacha gesi inatoka wapi, ilikuwaje!!?. Ongea vizuri ili tujifunze tujiepushe na kosa ulilofanya!
 
Hii imekaaje mkuu, mbona sielewi!
Choo cha shimo utoa gas, taa ya chemli ni chanzo cha moto , dawa ya mbu ya kuspray ni SAwa na petrol so gas ya dawa ya mbu ilipofikia moto wa chemli ikalipuka mlipuko ukapokelewa na gas toka shimo la choo ikalipuka.
Ndio maana shimo la choo usipoweka toleo la kutoa hewa na ikakosa pa kutokea ulipuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…