Jiko la gesi lilivyozima ndoto na uhai wa Familia ya Abedi Falhum Msangi

Kama mnataka silence muweke haya mabandiko huko nyumbani kwenu. Macho yanawezaje kuona ukiwa katikati ya moto unaungua? Tena unatoka nje na kurudi ndani ya nyumba mara tatu huku ukiwa unaungua.

Tumia ubongo wako vizuri.
Hii story kama in tukio lililotokea kule Tanga, ni tofauti kabisa na lilivyosimuliwa?
Tukio la kule Tanga, in short, ilikuwa siku ya sikukuu karibu na alfajiri, watu wamelala, mtu katoka huko ana njaa Kali, kaweka sufuria jikoni apashe moto chakula, ka -switch on gas, (inavyosemekana), akaanza kutafuta kiberiti, ile kukipata (imeishachukua muda, labda pengine mambo ya tingas), ile kukiwasha pap! Ikawa "boooom" nyumbani mzima!
 
Dah pole sana Mwenyezi Mungu awafariji. May their soul rest in eternal peace
 
Nauliza hivi ukiwa na fire extinguisher ndani ya nyumba inaweza saidia kwenye moto wa gesi?
 
Itapendeza zaidi ukiacha kabisa kutumia gas maanake hata hizo pipe zinaleta gas ndani na inaweza kuvuja kwenye jiko lenyewe ikawa ajali. Tumia mkaa tu.
 
Hii stori kuna vitu havijakaa sawa. Huwezi kuwa umezingirwa na moto halafu uwe macho unaingia na kutoka.

Mtu aliyeungua kiasi hicho hawezi kuongea na kukupa stori namna hii.
walimwengu hebu kuweni na simile kidogo. Hata stori za majonzi pia mnataka kuletea ujuaji. Abeid nilikuwa namjua na mpaka mauti yanamfika alikuwa anaziungumza. Baba yake alikwenda kumuona hospitali na walikuwa wanaongea kabisa japo hali yako haikuwa nzuri. Asubuhi ya tarehe 25 kwenda hospitali ndio mzee wake anaambiwa mwanae kafariki.
Usipende kuishi kwa mazoea kuwa kila muhanga wa moto anakuwa na athari ya aina moja. Kisichokaa sawa kwako ndo ukweli wa uchungu kwa wenzako.
 
Mtu mmoja aliehoji kashambuliwa sana, kuna vitu na mimi nilitaka kuuliza ila nikawa mpole.
 
Hii stori kuna vitu havijakaa sawa. Huwezi kuwa umezingirwa na moto halafu uwe macho unaingia na kutoka.

Mtu aliyeungua kiasi hicho hawezi kuongea na kukupa stori namna hii.
Eti gas ilisambaa nyumba nzima hadi vyumbani na milango ilikua wazi na moto ulisambaa kwote🤨 na hapo hapo nyumba haijaungua. Labda inawezekana ila kwangu naona wamenogesha tu kutoa tahadhali ila hakuna uhalisia kwenye hii story.
 
Mkuu poleni sana kwa tukio hilo la kuhuzunisha. Mungu awafariji.

Hata hivyo maelezo ya mwandishi yametengeneza picha tofauti na unachosema wewe.
 
Eti gas ilisambaa nyumba nzima hadi vyumbani na milango ilikua wazi na moto ulisambaa kwote🤨 na hapo hapo nyumba haijaungua. Labda inawezekana ila kwangu naona wamenogesha tu kutoa tahadhali ila hakuna uhalisia kwenye hii story.
Ni kweli kabisa mkuu. Aliyeleta stori kaongeza chumvi sana. Habari kama ingekuwa hivyo tungeiona magazetini front page.
 
hii story ina fundisho ila ni ya Uongo wa kutunga tu eti unaungua moto na bado unapata nguvu ya kuingia ndani kwenda kuokoa watu huku unawaka tu moto...
 
hii story ina fundisho ila ni ya Uongo wa kutunga tu eti unaungua moto na bado unapata nguvu ya kuingia ndani kwenda kuokoa watu huku unawaka tu moto...
Tema mate chini mkuu. Ni haki Yako kuwa na doubt, lakini usiongee as if upo sure na kauli Yako.

Namfahamu huyo jamaa, na kilichotokea sio story.
 
hii story ina fundisho ila ni ya Uongo wa kutunga tu eti unaungua moto na bado unapata nguvu ya kuingia ndani kwenda kuokoa watu huku unawaka tu moto...
Mkuu hili tukio ni la ukweli, last week nilikua Sewahaji nauguza mdogo wangu, na hao marehemu ndio ilikua topic ndani mule wodini. Stori haijapishana na jinsi ilivyokua inaongelewa mule wodini.
 
Aisee[emoji24]
 
Nunueni majiko Yale automatic yanayojiwasha. Ukisikia harufu ya gas ndani usiwashe jiko kagua funga vizuri koki, fungua Milango na madirisha harufu itoke
Hayo automatic ndio yakoje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…