Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
- Thread starter
- #21
Hata China na Spain bado wanapikia kuni ila wanajenga mabomba ya kutolea moshi. Spain vijijini wanaishi kama Afrika ila wenzetu wamejiongeza kwa tiles na moshi hauchafui jiko.Halafu katakuja kinyamkera hapa kataita nishati ya kuni ni nishati chafu