Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mzee baba msosi tayari mbona hakuna updateZero iq na atoto leo lazima kinuke
Hili toto litachukua miaka milion kupata mzee kama mimi
Msiniulize majani ya chai ya nini kwani wali ukiweka majani haiwi pilau ngoja nitest [emoji39][emoji41]View attachment 1170586
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zero iq na atoto leo lazima kinuke
Hili toto litachukua miaka milion kupata mzee kama mimi
Msiniulize majani ya chai ya nini kwani wali ukiweka majani haiwi pilau ngoja nitest [emoji39][emoji41]View attachment 1170586
Unamsingizia mtoto, kula ule wewe lawama abebe SwaleheTeh ....
Linakula hili li swalehe hatari sana
Thubutuuu! Uache pombe ukufe[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hahaha acha kabisa nipo njema sana sekta hiyo...
Hata hvyo nimeacha pombe[emoji41]
Nimesubiri weee kukaribishwa lakini holaaa[emoji134]Si unaona mambo hayo kitu kitatoka mda si mrefuView attachment 1170616
Hahahahaa umenichekesha we mdadaUnamsingizia mtoto, kula ule wewe lawama abebe Swalehe
Kazira kula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi pilau lishaiva?
Mambo yalikua yante yante arifu bila kusahau bulubandiVipi mzee baba msosi tayari mbona hakuna update
Mzee baba bila ata karibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] Viti vitamu unakula mwenyewe tuMambo yalikua yante yante arifu bila kusahau bulubandi
Tushaosha vyombo.babulai View attachment 1170742
Mzee baba bila ata karibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] Viti vitamu unakula mwenyewe tu
Ungenistua mie nije kula, kashiba huyo.Kazira kula
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mambo yalikua yante yante arifu bila kusahau bulubandi
Tushaosha vyombo.babulai View attachment 1170742
Ipo karibu kabisa na mimi 😅😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bulubendi huiachi mbali
Unamkomaza mtoto.Mzee huwa tunaenda ligi usipocheki dogo anakupiga kete mi huwa simwangalii usoni
Huu mchezo nliuanzisha ili nmhamasishe kula maana alikua hali kabisa na hivi mama yake katukimbia ndo kabisa ila nlvyoanzisha huu mchezo hahaha dogo anacheza faulo kinoma yaani unaweza jikuta unalamba tu mikono sema ndo hivyo ndo upendo wa baba wenyewe
Samaki kaiva sana akarojeka nikapoteza mzuka hata wakukukaribisha[emoji23][emoji23][emoji23]Nimesubiri weee kukaribishwa lakini holaaa[emoji134]
Namkomaza nini mkuuUnamkomaza mtoto.