financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Weee,sitaki kufa kwa presha Mimi, mume akitoka tu najua umeenda kuchakata mapapuchi mengine huko ,[emoji3] [emoji3] . mume kama zero IQ mmmh, yataka roho ngumuu[emoji16][emoji16] Njoo nikuoe wewe
Duuh[emoji3]Vyote tunaweza lakini papuchi mnazo nyie.
Ooh, you're a true definition of husband material,umeongea kwa busara mwenyewe [emoji106] , nimekuelewaaNinyi kuwaoa sio kwa ajili ya kupika tu.
-Ninyi ni faraja kwetu
-Ninyi ni ubavu wetu
-Ninyi ni miongoni mwa nguzo katika familia, familia haiwezi kuimarika kama nguzo zimepelea.
Kwa uchache ni hayo....
Usimkatae ziro sasa, hicho ni kiwanda kinachojitegemea kinajiendesha chenyewe kwa faida kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh, you're a true definition of husband material,umeongea kwa busara mwenyewe [emoji106] , nimekuelewaa
Aaah zero hata nipewe bure simtaki, mtu gani anachakata kila kilichopo mbele yake iwe chipsi, mapapuchi ya kila aina aargh[emoji3] [emoji3] ,kiwanda multipurpose hapanaUsimkatae ziro sasa, hicho ni kiwanda kinachojitegemea kinajiendesha chenyewe kwa faida kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vina onyesha vinasugu balaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu mmeona vidole vya zero iq anayekula madem mtaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah zero hata nipewe bure simtaki, mtu gani anachakata kila kilichopo mbele yake iwe chipsi, mapapuchi ya kila aina aargh[emoji3] [emoji3] ,kiwanda multipurpose hapana
Wewe pia nimekudharau. Yaani mtu mkubwa hivyo unadhani ukiwa na kazi lazima uwe umeoa au kila asiye na mke sababu kuu ni Abdallah kichwa wazi hayuko vizuri.ZeroIQ nimeshakudharau. Yaani umri huo kazi unayo tena nzuri halafu bado huna jiko?
Ama abdallah kichwa wazi hafanyi gwaride?
Utamu tunao sisi, hivyo acha wapike ili waje kutupunguzia kazi.Wakaka mnapika vizuri hadi mnatuzidi dah ,hivi mtatuoa kwelii for what sasa,karibia kila kitu mnafanya wenyewe tu, sifa hizo[emoji3] [emoji3]
Wewe pia nimekudharau. Unawatetea watu wanaojipikia wakati madada zetu wamejaa mitaaniWewe pia nimekudharau. Yaani mtu mkubwa hivyo unadhani ukiwa na kazi lazima uwe umeoa au kila asiye na mke sababu kuu ni Abdallah kichwa wazi hayuko vizuri.
Weeee, hawa anaweza asifanye kabisa akioa [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,utaskia majukumu ya mke hayooUtamu tunao sisi, hivyo acha wapike ili waje kutupunguzia kazi.
Vile wanajionaga walemavu wakishaoa!!!!Weeee, hawa anaweza asifanye kabisa akioa [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,utaskia majukumu ya mke hayoo
Mbona unamtetea hivo, kweli unanipoteza nduguyo kwa kunambia niende kwa zero[emoji3] [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kadri unavyozidi kuchakata ndivyo unazidi kuzalisha bidhaa nyingi
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Vile wanajionaga walemavu wakishaoa!!!!
Kumbeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] wale ni ndumu inawapelekesha
Ninyi kuwaoa sio kwa ajili ya kupika tu.
-Ninyi ni faraja kwetu
-Ninyi ni ubavu wetu
-Ninyi ni miongoni mwa nguzo katika familia, familia haiwezi kuimarika kama nguzo zimepelea.
Kwa uchache ni hayo....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unamtetea hivo, kweli unanipoteza nduguyo kwa kunambia niende kwa zero[emoji3] [emoji3]
Naona umechakata matango mkuuKaribuni na hukuView attachment 1172487
[emoji120][emoji120]Ubarikiwe[emoji8][emoji8][emoji8]