Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni tishuWhy umekatia vitunguu kwenye karatasi? Au ndio hutaki kuosha vyombo vingi?[emoji23]
Safisha meza kwanza.
Meza ya kitchen hiyoSafisha meza kwanza.
Siku nyingine nitawahi[emoji39][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] Umechelewa kidogo tu ungefinya na wewe
Yes, inasafishwa kwanza ndio unakula jamani.Meza ya kitchen hiyo
Hapna hapo ni jikoniYes, inasafishwa kwanza ndio unakula jamani.
Kwamba mimi sijui kupika? Ipo siku nitakuspoil na misosi wewe utarudi kwenye hii post kuniomba radhi [emoji23][emoji23]@Khantwe
Atakuwa wanakula mahindi na mabunzi yake.Wewe wa mkoani unakula nini mkuu?
Tuna[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Welcome siku nyingine jikoni kabisa ukimaliza kupika na kula msosi kinachofatia na kumla nani................! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]
Mkuu naona una alegi ya nyama kama Mimi.