Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
alikua analia lia njaa hapaNaona mzee umetoa chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikua analia lia njaa hapaNaona mzee umetoa chap
Hahaha acha hzo chiefWatu wanazidi kuwa wabunifu kila leo
[emoji7][emoji39][emoji39][emoji39]
asumani kichwa wazi anaanza kusumbua eeenh maana hauchelewi ww na hivi umeshiba ?Sasa hivi naona shwari mkuu
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Blue band inafanya nini hapo?Nakuunga mkono hapa chief nmeamua na mimi nimpikie mwanangu leo View attachment 1170366
Upo kama mmnapenda sana kumwona mtu aapika mboga yake anaweka nyanya chungu ila mimi siwezi kuzila wala mboga yangu sipendi hata hayo makitu yawekwe...
Inshala nimeshakula now niko Ok nimebakiwa na kazi moja tu.......... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]Kinavutia kula kinaonekana ni kitabu, nimependa mboga ya kijani hujaivisha sana.
Haya leta maji tunawe tushambulie msosi
Hiyo kitu hapo kwene sufuria sio mchezo.Vipi udenda tena
Msipowaongelea wadada makoo yanawaka moto eehKwa style hii humu kuna wadada wengi tu watashikwa na "wivu wa Kike!", kwa sababu wao wanachojua ni kuchemsha chai tu kwa heater na kupigia simu mchakata chips alete na vipapatio.
Inapakwa kwenye nyanya 😀Blue band inafanya nini hapo?