Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mzee baba..unakula sembe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee baba..unakula sembe??
😂 😂 😂 😂kupigia simu mchakata chips alete na vipapatio
Hahaha
Kwani haiwezekani??
Watu wanazidi kuwa wabunifu kila leo
Kinavutia sana.. hongera mpishi
Yes ni karatasi.Hiyo ni tishu
Angalia vizuri
Tishu bhanaYes ni karatasi.
😂😂😂😂Tishu bhana
Ongera sana mkuu Toa Kitu makini kabisa [emoji16][emoji16][emoji16] Achana na wanaume wa mkoani wanaojifanya wagumu kushindia Dona na Mahindi ya kuchomaNdio nimeingia magetoni hapa
Mda si mrefu nachakata njegere,mchicha na wali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi uweke uzi wa mapishi ya wanaume jf...huko wanaume tutakua tunafundishana mawili matatu hadi tuoeOngera sana mkuu Toa Kitu makini kabisa [emoji16][emoji16][emoji16] Achana na wanaume wa mkoani wanaojifanya wagumu kushindia Dona na Mahindi ya kuchoma