Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kwakweli hiyo nyama imenishinda jamaniUmeona eeehh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli hiyo nyama imenishinda jamaniUmeona eeehh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume unajua siri kumbe ukija chit-chat unakutana na thread yakoYule huwa hasubiri wagombane....
Utaona tuu , location...on bed
Hivi kumbe ni leoMfyuuuu ww haujaniamsha asubuhi mm
Yatasaidia kweli?Kaoge maji ya baharini[emoji3]
NishasahauMm na kitimoto wapi na wapi
Tatizo muda. Mtoto afike na kupika itakuwa saa 10 jioni.
Mambo ya msingi yatafanywa SAA ngapi?
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitakuchapaaaa
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume unajua siri kumbe ukija chit-chat unakutana na thread yako
Hakuna mashine duniani inayofanya kazi kwa uharaka, uhakika na umakini wa hali ya juu kama mwanaume anaemsubiri mpenzi wake "gheto"... Alisema baharia mmoja.Ila wanaume wakiwa na ugeni wanajua kujituma jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hapo hazard umeamka SAA 11 ukapiga deki , ukafua, ukaweka kila kitu sawa. Kitanda umetandika na nguo kabatini umepanga.
Umepika kama vile umesoma mapishi.
Ila sasa mkioa mnajidai hata kukata kata kitunguu hamjui.
Wanavyoisifia sasaKwakweli hiyo nyama imenishinda jamani
Nenda serena pale au hyatt ingia jikon waangalie wanaondaa zile menyu halafu urudi hapa kubweka
Hizo si goli za jana...wanataka nizilipize kwako aaaah wanataka nizilipize kwa mgeniHaki nimecheka kinomaa....
Yote 9, kumi ni kwamba hizo NNE zinakuhusu peke yako.
Heee hujakiona?Kwani kimeshaiva?
Kama hivyo..Kwa niaba ya mgeni naomba kuona picha ya kitanda, kilivyonyooka tuuuu[emoji39][emoji39][emoji39]
HakikaaaHakuna mashine duniani inayofanya kazi kwa uharaka, uhakika na umakini wa hali ya juu kama mwanaume anaemsubiri mpenzi wake "gheto"... Alisema baharia mmoja.
[emoji39][emoji39][emoji5][emoji5]Kama hivyo..View attachment 1179213
@AtotoKimeivaa wakuu...
Ni mda wakusubiri ile kauli.."ngoja nimpe bodaboda uongee nae"[emoji1787]View attachment 1179153
Kaenda kutoa ya moyoni hukoo@Atoto
Hahahhahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una nini wewe leo?[emoji23]