Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Mkuu mikono inachafuka unawai kitambaa unapangusa mikono alafu unawai kutype ili tupate vitu mubashara [emoji3][emoji3]

Alafu akatae kulala wallahi atatema hizo nyama [emoji23]

Eti ooooh leo naumwa [emoji23]
Pima na oil kabisa,, kuungua kote huko alafu apeperuke eti siku ingine[emoji12]

Baharia zile 4 za jana mgeuzie yeye

[emoji23][emoji23][emoji23] natania mkuu
 
Ila wanaume wakiwa na ugeni wanajua kujituma jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Hapo hazard umeamka SAA 11 ukapiga deki , ukafua, ukaweka kila kitu sawa. Kitanda umetandika na nguo kabatini umepanga.
Umepika kama vile umesoma mapishi.

Ila sasa mkioa mnajidai hata kukata kata kitunguu hamjui.
Wakioa wanakuw awalemavu ghafla.
Madai yao kampeni imeisha[emoji134][emoji134]
 
Mkuu mikono inachafuka unawai kitambaa unapangusa mikono alafu unawai kutype ili tupate vitu mubashara [emoji3][emoji3]

Alafu akatae kulala wallahi atatema hizo nyama [emoji23]

Eti ooooh leo naumwa [emoji23]
Pima na oil kabisa,, kuungua kote huko alafu apeperuke eti siku ingine[emoji12]

Baharia zile 4 za jana mgeuzie yeye

[emoji23][emoji23][emoji23] natania mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cuteb soma hii hapa kabisa kabla mambo hayajaharibika
 
Back
Top Bottom