Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Ila wanaume wakiwa na ugeni wanajua kujituma jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Hapo hazard umeamka SAA 11 ukapiga deki , ukafua, ukaweka kila kitu sawa. Kitanda umetandika na nguo kabatini umepanga.
Umepika kama vile umesoma mapishi.

Ila sasa mkioa mnajidai hata kukata kata kitunguu hamjui.
Hahahaha ungejua ugeni wenyew...
 
Back
Top Bottom