Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
RelaxNenda serena pale au hyatt ingia jikon waangalie wanaondaa zile menyu halafu urudi hapa kubweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RelaxNenda serena pale au hyatt ingia jikon waangalie wanaondaa zile menyu halafu urudi hapa kubweka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpaka wagombane sasa ndiyo atasema.Ninachompendea demiss hanaga siri kama yeye ipo siku tu atakuja kuyasema [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hataki kufa na vitu moyoni
Ndo unaamka eeehhNinachompendea demiss hanaga siri kama yeye ipo siku tu atakuja kuyasema [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hataki kufa na vitu moyoni
Mie nilijua ni wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ndio ww mgeni mwenyewe
Hapana simu nimechomeka chaji..huwa sipokei simu ikiwa chajWewe si umekaushia simu yangu. Au nitaharibu mipango[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona eeehhNa uroho wangu wooote hapa nimeshindwa mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo hapa mimi shabiki yenu mtiifu
Hebu shangaa na wewe jamaniTatizo muda. Mtoto afike na kupika itakuwa saa 10 jioni.
Mambo ya msingi yatafanywa SAA ngapi?
😂😂😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni wivu tu
HahahahahahaKwenye sakafu[emoji23]
Ha hahaha hahahahah. Ukiona kimya sikoment huku ujue simu ipo chaji Mimi nipo nje na shughuli nyingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uitoe na sauti kabisaa dear...
HahahahahahaHahahahhaha hahahahah hahahahahahaha hahaha. Leo umeniamulia kweli
Hahahahahaha
Nitakusindikiza siku ukialikwa jamani
Hahahahahahhahah .Hapana simu nimechomeka chaji..huwa sipokei simu ikiwa chaj
Kula au kupiga story auntie?Karibu Kwangu mwaya
Achana na mafurushi
Yule huwa hasubiri wagombane....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpaka wagombane sasa ndiyo atasema.
Wakioa wanakuw awalemavu ghafla.Ila wanaume wakiwa na ugeni wanajua kujituma jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hapo hazard umeamka SAA 11 ukapiga deki , ukafua, ukaweka kila kitu sawa. Kitanda umetandika na nguo kabatini umepanga.
Umepika kama vile umesoma mapishi.
Ila sasa mkioa mnajidai hata kukata kata kitunguu hamjui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cuteb soma hii hapa kabisa kabla mambo hayajaharibikaMkuu mikono inachafuka unawai kitambaa unapangusa mikono alafu unawai kutype ili tupate vitu mubashara [emoji3][emoji3]
Alafu akatae kulala wallahi atatema hizo nyama [emoji23]
Eti ooooh leo naumwa [emoji23]
Pima na oil kabisa,, kuungua kote huko alafu apeperuke eti siku ingine[emoji12]
Baharia zile 4 za jana mgeuzie yeye
[emoji23][emoji23][emoji23] natania mkuu
Hahaha afanye kazi au apike kwani ameenda kupika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hebu shangaa na wewe jamani
Ataosha vyombo bhana