Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Sky Eclat

Nimeona huu ujumbe mara nyingi saana....ukiona nyama inauzwa popote ikawa haina flies usiinunue maana watakuwa wametumia kemikali ya kutunzia maiti kufukuza flies.

Kuna ukweli juu ya hili....nimeshaharibika kisaikolojia nikiwa nakula nyama nakuwa siiamini amini....

Cc bbade Watu8

Mwenye kulijua.
 
Acha kumtisha asije badili mawazo huyo[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakusindikiza wewe apoo...

Unajua sio vizuri kwenda mwenyewe eeeh
 
Pamoja mkuu...nyagi ipo pembeni pia
Nakuja na hizi za nyongeZa
1565603897066.jpeg
 
Back
Top Bottom