Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Sky Eclat

Nimeona huu ujumbe mara nyingi saana....ukiona nyama inauzwa popote ikawa haina flies usiinunue maana watakuwa wametumia kemikali ya kutunzia maiti kufukuza flies.

Kuna ukweli juu ya hili....nimeshaharibika kisaikolojia nikiwa nakula nyama nakuwa siiamini amini....

Cc bbade Watu8

Mwenye kulijua.
Ndio maana mimi hua nafuata machinjioni mwenyew
 
Mie mbona sikaribishwi jamani[emoji134][emoji134][emoji134]
Acheni uchoyo wanaume wa jf[emoji57][emoji57]
Tunakuundia tume ya roho mbaya hadi uache kutumia lile jina
 
Kimeivaa wakuu...

Ni mda wakusubiri ile kauli.."ngoja nimpe bodaboda uongee nae"[emoji1787]
IMG-20190812-WA0016.jpeg
 
Back
Top Bottom