kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
-
- #101
Lakini still bado una nafasi ya kufanya mabadilikoKwa sasa najitahidi kubadilika kwa sababu kuna mambo ya muhimu sana kwenye maisha yangu nimeyachelewesha/yakwamisha kwa sababu hiyo.
Ndio ndio mkuuLakini still bado una nafasi ya kufanya mabadiliko
ni moja ya chanzo ndugu kwani hupelekea mtu kua na usonjiNimeshawahi kukuomba mafuta au sabuni?
Mimi sina usonji nduguni moja ya chanzo ndugu kwani hupelekea mtu kua na usonji
ni tatizo la kinafsi na la kihisia linalowatokea watu tangu utotoni na kuathiri uwezo wao wa kuwasiliana na wengineMimi sina usonji ndugu
Kama ni tatzo la tangu utotoni sasa kwann unasema mimi najichua?ni tatizo la kinafsi na la kihisia linalowatokea watu tangu utotoni na kuathiri uwezo wao wa kuwasiliana na wengine
nayo ni moja ya sababu kama utotoni hukua hivyoKama ni tatzo la tangu utotoni sasa kwann unasema mimi najichua?
Ah c unajua tena mapenzi sio kitu cha kulazimishambaga mwanamke anakuzidi vipi marifa hadi anakuacha ndugu
Hilo tatizo ndo linanitesa mpaka sassMimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Sawa mkuu, lakini mimi sifanyi huo mchezo kabisa, na swala la kutokupokea sim ni tatzo la muda mrefu sananayo ni moja ya sababu kama utotoni hukua hivyo
Wewe upo kama mama angu, Polee sana mpenziMimi ni mwepesi mno wa kuamini watu kuwa ni wema, Ile namna niko huwa nahisi kila mmoja yupo so kind-hearted kama Mimi..!!
Ila madhara yake ni huwa napewa zaidi maumivu na ninaowaamini kuwa ni wema..!
Mimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Ok kinatibika?Hicho ni kilema kabisa mkuu
Nimecheka sanaUdhaifu wangu wanawake wenye maziwa makubwa.
Nashangaa Kuna watu wanashabikia tako wakati utamu uko huku juu kifuani.
Kinatibika Mkuu, suluhisho ni kumrudia Mungu tuHixi
Ok kinatibika?
Achana na hayo mambo, unapunguza kiwango cha testosterone kweny damu.punyeto, ngono zembe na picha za wakubwa.
Unafnyeje?Pole sana mkuu, umeshawahi kujaribu mdalasini na asali?
wap?Nileteee
HixiMimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Sijawahi kumuacha Mungu wangu HILI NI HAKIKAKinatibika Mkuu, suluhisho ni kumrudia Mungu tu
HixiMimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Sijawahi kumuacha Mungu wangu HILI NI HAKIKAKinatibika Mkuu, suluhisho ni kumrudia Mungu tu
umenisisimua we bintiNapenda dogi staili...ni kama style zote nimezitelekeza..yani ni humu tyuu...