Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Mimi kumbukumbu za jana!
Zinanitesa sana haswa inapo fika leo, kola nikikumbuka jana ilivyo leta matokeo mabaya naona hata leo sitoboi
Hii imenisimasha sehemu sipigi hatua miaka zaidi ya kumi!
Kingine sijui kusema hapana, hata kama inagharama kiasi gani, kusema hapana nashindwa, nayo imenisimamisha kwenye maisha ya aina moja zaidi ya miaka kumi sasa.
Zinanitesa sana haswa inapo fika leo, kola nikikumbuka jana ilivyo leta matokeo mabaya naona hata leo sitoboi
Hii imenisimasha sehemu sipigi hatua miaka zaidi ya kumi!
Kingine sijui kusema hapana, hata kama inagharama kiasi gani, kusema hapana nashindwa, nayo imenisimamisha kwenye maisha ya aina moja zaidi ya miaka kumi sasa.