Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdau wa mitindiUdhaifu wangu wanawake wenye maziwa makubwa.
Nashangaa Kuna watu wanashabikia tako wakati utamu uko huku juu kifuani.
Pole sana mkuu, umeshawahi kujaribu mdalasini na asali?Mimi udhaifu wangu ni 2 min chalii.
Sahau ya jana, usihofie yajayo, deal na ya sasa.Mimi kumbukumbu za jana!
Zinanitesa sana haswa inapo fika leo, kola nikikumbuka jana ilivyo leta matokeo mabaya naona hata leo sitoboi
Hii imenisimasha sehemu sipigi hatua miaka zaidi ya kumi!
Kingine sijui kusema hapana, hata kama inagharama kiasi gani, kusema hapana nashindwa, nayo imenisimamisha kwenye maisha ya aina moja zaidi ya miaka kumi sasa.
Acha wahangainge na matrako, Yale Ni mavi tu yamejaa kule.Mdau wa mitindi
Huo sio uzaifu mkuu, hicho ni kipaji kabisa maana siku hizi wengi wanapiga zogo sanaUkimya siwezi kuongea sana
Mpaka sasa ni Juhudi gani unachukua ili kukabiliana na huo udhaifu?Huwa nachelewa sana kufanya maamuzi.
Unaonekana tu. Pole,punyeto, ngono zembe na picha za wakubwa.
Hivi kupenda ulozi nako ni udhaifu? Maana bila ulozi naona kama sijatimia 😂Mimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
mbaga mwanamke anakuzidi vipi marifa hadi anakuacha nduguMm naona n udhaifu mana wanawake ndio wanaitumia kama kigezo cha kuniacha
Kwa sasa najitahidi kubadilika kwa sababu kuna mambo ya muhimu sana kwenye maisha yangu nimeyachelewesha/yakwamisha kwa sababu hiyo.Mpaka sasa ni Juhudi gani unachukua ili kukabiliana na huo udhaifu?
Hivi kupenda ulozi nako ni udhaifu? Maana bila ulozi naona kama sijatimia 😂Mimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
unatabia ya kujichuaSipokei simu wala sipigii watu simu
Hicho ni kilema kabisa mkuuHivi kupenda ulozi nako ni udhaifu? Maana bila ulozi naona kama sijatimia 😂
Utakuwa umejisahau.Ukimya siwezi kuongea sana
Kuongea na kuandika ni vitu viwili tofautiUtakuwa umejisahau.
Nilikuona kwenye uzi wa quran unavyo foka.
Nimeshawahi kukuomba mafuta au sabuni?unatabia ya kujichua
Sawa.Kuongea na kuandika ni vitu viwili tofauti