kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #161
Huo sio uzaifu mkuuUdhaifu wangu :
Nikigundua Manzi nilienae ana pigo za kimalaya Malaya napiga Chini fasta mara 800 nikanunue wanaojiuza Badoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo sio uzaifu mkuuUdhaifu wangu :
Nikigundua Manzi nilienae ana pigo za kimalaya Malaya napiga Chini fasta mara 800 nikanunue wanaojiuza Badoo
Sio ugonjwa, hiyo ni tabia au kitu ambacho watu wachache sana wanacho, kusaidia watu ni ishara ya roho nzuri yenye huruma.Mniombee tu, nina udhaifu mkubwa wa huruma, hata kwa watu nisiowajua. Nasaidia huu ni udhaifu wangu toka mdogo. Nikiona tu mtu ana uhitaji, pochi liko wapi. Na nisiposaidia nikiondoka nitasononeka usiku wote. Najiona nimefanya kosa kubwa sana. Sijui ni ugonjwa.
Ni udhaifu mkubwa kwa upande wangu sababu nimeshapiga chini Wanawake wengi kwa sababu hioHuo sio uzaifu mkuu
Unawapiga chini kwa nia njema kabisa, hapo unajiepusha na matatizo mkuuNi udhaifu mkubwa kwa upande wangu sababu nimeshapiga chini Wanawake wengi kwa sababu hio
Na Mimi nataka unitunuku hilo pochi manyoya Bantu Lady nijipoozee mara moja moja kwako sio vibaya au unasemaje?Mniombee tu, nina udhaifu mkubwa wa huruma, hata kwa watu nisiowajua. Nasaidia huu ni udhaifu wangu toka mdogo. Nikiona tu mtu ana uhitaji, pochi liko wapi. Na nisiposaidia nikiondoka nitasononeka usiku wote. Najiona nimefanya kosa kubwa sana. Sijui ni ugonjwa.
Inamaana mkuu wewe ni mtaalam kabisa?Nautengeneza mwenyewe
Walikuhisi nini?Udhaifu wangu...
Humu ndani najaza sana EMOJI katika comments zangu...
Nimeshawahi kuhisiwa vibaya.....[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mpenda umbea🤣Niwatajie udhaifu ili mnizodoe Thubutuuu!!
Ibaki siri yangu tyuuu.!! 😹😹😹
Sasa ndio udhaifu wangu huo yaan nisingekua na huo udhaifu ningeishia kuumia kijingajinga kwa nikigundua tu anapigo za ku-sell her body kwa price fulani yaan nipo tayari nikanunue tu huko Badoo kuliko kua na mtu mwenye pigo za kuuza anauzia wangapiUnawapiga chini kwa nia njema kabisa, hapo unajiepusha na matatizo mkuu
Na mimi niko hapaConfidence mbele ya umati wa watu ni 0%
Uvinza ni mji gani au una tatzo gani mkuu? Fafanua kdgoUvinza.
Hivi kweli naweza kufanikiwa kuteremka kwenye huu mji?
Masela wa kitaa wanakuwaga na confidence, sasa imekuwaje tena mkuuNa mimi niko hapa
Mkuu kwani huko badoo ndyo wapi?Sasa ndio udhaifu wangu huo yaan nisingekua na huo udhaifu ningeishia kuumia kijingajinga kwa nikigundua tu anapigo za ku-sell her body kwa price fulani yaan nipo tayari nikanunue tu huko Badoo kuliko kua na mtu mwenye pigo za kuuza anauzia wangapi
Kweli mishagazi ni janga la taifaPepsi na Mishangazi
Watu ndio wananiitaga mimi msela, lakini mimi kama mimi najijua kabisa, ukinisimamisha mbele ya umati niongee unakuwa unanioneaMasela wa kitaa wanakuwaga na confidence, sasa imekuwaje tena mkuu
Huko ndio kituo cha Dada zako wanaojipiga bei kwa bei nafuuMkuu kwani huko badoo ndyo wapi?
Lakini unatamani uweze kuongea mbele za watu au umeridhika na hali ya kuto kujiamini?Watu ndio wananiitaga mimi msela, lakini mimi kama mimi najijua kabisa, ukinisimamisha mbele ya umati niongee unakuwa unanionea
Kumpigia chabo Mama yako akiwa anabadirisha nguo unapenda sana?Kupiga chabo...aisee hii kitu napenda sanaaaaaa