Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Wazee wa Economics:

Prof. Kulindwa, Prof. Msambichaka, Prof. Mabele, Prof. Mushi, Dr. Ndashahu...
 
Mabilionea hi I in kwanini wengi weapo Arusha?
Mabilionea wa Arusha ni kama Ligi kuu ya Uingereza tu,inavuma.kwa vile inapata matangazo mengi lkm kuna ligi bora kama spain.The same to Mabilionea wa Arusha wapo wengine wa sehemu nyingine pia ila wa Arusha promo ni kubwa
 
yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?

Hahaaaa Dr Lymo yule mlemavu wa mguu ni shiiidaaa!!! Ana stress za maisha yule jamaa aisee, Aliwahi kukamata nusu ya darasa kwenye AS ile ya qualitative research methodologies!!! Hatari sana!!!

Vp Dr Ng'wanza Kamata hajakusomesha IR?? Prof Chaligha je hujakutana nae kwenye Personnel management? Vp kuhusu Prof G, mutahaba hukuwa naye kwenye Public Administration in Tanzania?? Prof Munishi ni mzee wa Public Policy Analysis, hatari sana hawa wasomi waandamizi!!
 
prof. Samuel Mushi
DR. Mohamed Bakari
prof Amon Chaligha
prof. Max Mmuya
prof Mutahaba
DR Ng'wanza Kamata
DR sister Kante
prof Mohabe Nyirabu
DR Nassoro

Bila kumsahau sister duu Dr Benadetha Killian mamaa wa Democracy and Elections!! Hatari sana!! Huyu mama kwa sasa naskia ni Prof
 
yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?

Sio wote waliopitia PSPA walifundishwa na Dr. Bruce Heinman. Labda wale wa upande wa International Relations
 
Ngware sasa ni Prof. pale IDS
anasema "i live where other people live" (mbezi beach

halafu anasema ukiona gari lake manzese piga simu polisi ujue limeibiwa.
halafu eti kitandani kwake zinalala degree 7 zake 4 na 3 za mkewe

Huyu mzee alikuwa akivaa suruali yake inapinda kidogo.
Anasema bibi yenu 3 yuko Aridhi yeye kitanda kinalaliwa na digirii 7
 
yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?

Wamenifundisha wote hawa.Nahisi wewe tulikuwa wote mkuu.RR LYIMO alikuwa anafundisha AS.
DR MOGELA alikuwa akikuchengia inakuwa balaa
 
do wasomi kibao katika taifa linaloongozwa na watu wenye ubongo wa jelly fish
 
Back
Top Bottom