Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa


Mbona wote naona kama ni Penguin (Nguin)?????! Wa sayansi vipi?
 
Yaani mi nawakumbuka Dr Ndalichako, Prof Sam Wangwe. Prof Lipumba , Dr Ulomi , Dr Urassa , Prof Wambali , Prof Chachage , Dr Mvungi , dah wapo wengi sana ila nawaheshimu sana hawa wanazuoni. kuna wengne watata kama Dr Nyang'oro pale COET.
 
Kama ujui kitu bora unyamaze hivi Mathew Luhanga , Ndalichako and co nao wawe nguin you cant be serious dude.
Mbona wote naona kama ni Penguin (Nguin)?????! Wa sayansi vipi?
 
Prof. Mashalla, Pphysiology MUCHS, Prof. Lyamuya-Micro, Prof Matee, Prof. Mhalu, Prof. Ngassapa- Anatomy
 
EEEEEE Kwani vyuo vingine havina Maprofessa?
1Prof Nyamsogoro(nyamso)
2.Dr.Mujwahuzi njunwa R.I.P
3.Dr.Montaneus C.Milanzi
4.Dr.Tundui
5.Prof Kirway
6.

Hahaha Dr. Milanzi namkubali sana.
 
Mwenye data za Wa Sua wakuu aongeze
Prof Minja R.I.P
Prof Bangu
Prof msola
Prof Muze R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…