Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Duh, kama aliwahi kufundisha basi itakuwa miaka ya zamani sana ambapo wengi wetu tulikuwa hatujatia timu Ud, maana yule jamaa aliingia kwenye siasa zaidi ya miaka ishirini iliyopita, so sidhani kama wengi wetu walimkuta akiwa mkufunzi...

Alikuwepo hadi miaka ya 98
 
Dr.NN()Nalitorela ;Dr. Bisanda ;Dr Elias;Dr J Runyoro;Dr.Nyamwihura;Dr Mvungi;Dr Manyahi;Dr Mshoro;Dr Kyaruzi;Dr Nzali;Dr John;Dr Kahambwa;Prof Mshana;Dr Mhilu;Dr Nyahumwa nk hiyo ni FoE 1994
Wengi hapo walishakuwa maprof,,na wamestaafu .
 
Dr.Natu Mwamba .now she's vice governor of the b.o.t
 
Kumbe wengi hapa ni wajuzi tu. Mbona sijamuona mtu anamtaja Prof. Mmari aliyekuwa vice Chancelor kabla ya Prof. Matthew Luhanga. Zaidi namkumbuka Dr. Ngware wakati huo akitukandia kwamba tumejifunzia kula mayai chuo kikuu badala ya kula utotoni ili kufanya akili zetu ziwe sharp. Pia wale Idara ya Biashara alikuwepo Prof. Okosso-Amaa, Dr. Mushi, Dr. Mboya,

Tiba
 
Prof mbwette prof bisanda prof Victor prof shaban Mbogo prof varisanga prof Emmanuel Mbogo prof rwegoshora hawa wote ni wa open University respect kwao
 
Prof Mtulia,
Prof Massawe (Ob gyn),
Prof Rimoy,
Prof Massele (Pharmacology)
 
Prof kingolingoli wa temeke nursing........ Dr mashaka fungameza wa data star........ .... Pro kwendo kwendo wa V.T.C kibaha............. Pro alhaj Muhammed wa University of Muslim morogoro........... Dr kitila mkumbo wa milembe Dodoma
 
Kumbe wengi hapa ni wajuzi tu. Mbona sijamuona mtu anamtaja Prof. Mmari aliyekuwa vice Chancelor kabla ya Prof. Matthew Luhanga. Zaidi namkumbuka Dr. Ngware wakati huo akitukandia kwamba tumejifunzia kula mayai chuo kikuu badala ya kula utotoni ili kufanya akili zetu ziwe sharp. Pia wale Idara ya Biashara alikuwepo Prof. Okosso-Amaa, Dr. Mushi, Dr. Mboya,

Tiba

Ngware sasa ni Prof. pale IDS
anasema "i live where other people live" (mbezi beach

halafu anasema ukiona gari lake manzese piga simu polisi ujue limeibiwa.
halafu eti kitandani kwake zinalala degree 7 zake 4 na 3 za mkewe
 
Back
Top Bottom