Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Kwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
 
Vigezo vya Dr. au Prof. kuwa mkali ni vipi?! Ninachokijua ni ku-publish a good number of high quality papers. Au kwa maneno mengine ku-generate high quality knowledge which has impact on the life of the majority, and theoretically to push frontiers of their discipline.
 
prof. Samuel Mushi
DR. Mohamed Bakari
prof Amon Chaligha
prof. Max Mmuya
prof Mutahaba
DR Ng'wanza Kamata
DR sister Kante
prof Mohabe Nyirabu
DR Nassoro



Prof William Makene R.I.P
Prof Basinda R.I.P
Prof Gabriel Mwaluko R.I.P
Prof Raphael Lema P.I.P
Prof James Shaba
Prof Zul.Premji
Prof Mandara
Prof Samwel Maselle
Prof Idd Mbaga
Prof Charles Kihamia
Prof Fred Mhalu
Prof Abel Msengi R.I.P
Prof Lwiza R.I.P..
 
Wengine ni:

Prof Samuel Wangwe

Prof Baregu

Prof Mwakyusa (RIP)

Prof Gidamis (yuko Nairobi sasa)

Prof Wamba Dia Wamba (alikuwa warlord huko DRC. Kwa sasa hasikiki...sijui kapotelea wapi)

Prof Penina Mlama

Prof Lihamba (yupo TUKI)

Prof Chris Peter Maina
 
EEEEEE Kwani vyuo vingine havina Maprofessa?
1Prof Nyamsogoro(nyamso)
2.Dr.Mujwahuzi njunwa R.I.P
3.Dr.Montaneus C.Milanzi
4.Dr.Tundui
5.Prof Kirway
6.
 
prof. Samuel Mushi
DR. Mohamed Bakari
prof Amon Chaligha
prof. Max Mmuya
prof Mutahaba
DR Ng'wanza Kamata
DR sister Kante
prof Mohabe Nyirabu
DR Nassoro


Include:
Dr. Emmanuel Okema RIP
Dr. Mishambi
Prof. Buluda Itandala
Prof. Ibrahim Musabaha
Prof. Livigha RIP
Prof. Msuya - Former Chief Academic Officer - RIP
 
Prof.kanisani
Prof. Samweli maghimbi
Prof. Palamagamba kabudi
Prof.kabudi
Prof. Mwaikusa
 
mkuu Tulimumu dr balla maselle yupi unamuongelea?? kama ni yule wa department ya masuala ya linguistic kwa sasa ni marehemu alifariki mwaka 2012 na kuzikwa pale makaburi ya sinza...sijui kama una taarifa hyo...unless kama unamzungumzia dr maselle mwingine....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom