Jilinde kwa kutumia Stun gun

Jilinde kwa kutumia Stun gun

natafuta kengele ya getini yenye speaker, mtu akibonyeza kengele niweze kumuuliza wewe ninani na atanisikia kupitia hiyo kenyele, akiongea nami nitamsikia nikiwa ndani, faida yake ni kujua naenda kumfungulia nani na anataka nini
Mtoa mada jibu hili swali! Kama hauna sema...
 
Unaweza kumpiga ili aishiwe nguvu au pia kumzimisha itategemea na kiwango cha shoti unayompiga
Unaichaji na inauwezo mkubwa wa kutunza charge pia ni rechargeable device, kisha utumiaji unaweza tembea nayo au utumie muda wa tukio, utawasha kisha unapress button alafu unamgusisha mhalifu wako
Mbona kama bei rahisi sana hio kitu!?,...kwa ulivyoielezea na bei ni vitu viwili tofauti
 
Stun gun ni kifaa chenye uwezo wa kupiga shoti pia kuna tochi, ni kidogo unaweza tembea nacho Kama tochi ya kawaida, rechargeable device, kitakusaidia kujilinda na uhalifu wowote au ulinzi kwa kumpiga shoti mlengwa wako, mfano mzuri zinatumikaga kuwatuliza waalifu kwa kuwapunguza nguvu
how?
hadi umguse au?
 
Stun gun ni kifaa chenye uwezo wa kupiga shoti pia kuna tochi, ni kidogo unaweza tembea nacho Kama tochi ya kawaida, rechargeable device, kitakusaidia kujilinda na uhalifu wowote au ulinzi kwa kumpiga shoti mlengwa wako, mfano mzuri zinatumikaga kuwatuliza waalifu kwa kuwapunguza nguvu
HOW?? NI ZILE KAMA ZA KWENYE MUVI YAANI INA VISINDANO NA WAYA AU ZILE HADI UMGUSE MHUSIKA??
stun-gun-power-200.png
taser.jpg
 
Stun gun / Teaser /Shocker
Itakusaidia kujilinda na uhalifu,
ina tochi na inapiga shoti.
bei: 69,000/=
Mahali: kijitonyama
simu: 0656190449

Bidhaa nyingine zinazopatikana
CCTV - 350,000/=
PVP(Portable Vision Playing Station) - 60,000/=
Alarm system - 300,000/=
TV BOX- 90,000/=
soundbar-95,000/=
Bose wireless speaker - 80,000/=
HDD 160GB - 45,000/=


Samahani, siyo kama nakuja kuchekesha hapa, lahasha. Naomba unijuze kitu, hapo dukani kwako unauza mabomu ya mkono (grenades)?
 
Unaichaji na inauwezo mkubwa wa kutunza charge pia ni rechargeable device, kisha utumiaji unaweza tembea nayo au utumie muda wa tukio, utawasha kisha unapress button alafu unamgusisha mhalifu wako
Kumbe mpaka umugusishe Mimi nilidhani unamiga mwanga Hata kwa mbali,kwa umekurupusha mwizi unapiga short anaanguka unamshughulikia,so nikama unavyoweza kutumia kisu siyo bunduki.
 
Hiyo safi sana.. ameipata wapi na kwa Tsh ngapi? Inakera sana una acha mambo yako kwenda kufungua gate unakutana na mtu anakwambia anauza chupa za chai!
bahati mbaya mhusika anaishi mbali sana na makazi yake, pia hatuna ukaribu, najiongeza mwenyewe
how-to-ring0.jpeg
 
Back
Top Bottom