Jilinde kwa kutumia Stun gun

Jilinde kwa kutumia Stun gun

Stun gun daa mkuu unanikumbusha mbali. Nimewahi kuimiliki hii kitu. Kuna mzee mmoja wa kisukuma aliniuzia kitambo..baadaye wajanja wakaniibia. Hii ya kwako highest output yake ni ngapi?
fresh, power output : 1000KV
 
Hizi vidude kwenye mwili kama wa Le Mutuz haziwez kufanya kazi
Stun gun / Teaser /Shocker
Itakusaidia kujilinda na uhalifu,
ina tochi na inapiga shoti.
bei: 69,000/=
Mahali: kijitonyama
simu: 0656190449

Bidhaa nyingine zinazopatikana
CCTV - 350,000/=
PVP(Portable Vision Playing Station) - 60,000/=
Alarm system - 300,000/=
TV BOX- 90,000/=
soundbar-95,000/=
Bose wireless speaker - 80,000/=
HDD 160GB - 45,000/=
 
Hiyo cctv memory yake kiasi gani??
Namaanisha inaweza chukua matukio ya muda gani
 
hizo cctv ni brand gani na zipo ngapi na ni pixel ngapi full kit mean kebo zake dvr camera na vikolo kolo vinginevyo vile
iyo full kit ni bila hdd, ukiweka 500gb inachukua siku tatu, 1 tb inachukua wiki nzima
 
mkuu nilikua naomba pia picha ya hiyo sound bar na brand yake
 
Sasa hii shot ukimpiga nayo teja wa uchochoroni si anaweza akafa jumla?[emoji4] [emoji4] mana afya zao Mungu ndo anajua
 

Attachments

  • IMG_20181010_160155.jpg
    IMG_20181010_160155.jpg
    132.5 KB · Views: 78
  • IMG_20181010_160140.jpg
    IMG_20181010_160140.jpg
    120.8 KB · Views: 74
SKM OFFERS

1. Alarm system - 300,000/=
2. CCTV camera 4 channel full kit - 350,000/=
3. Portable Vision Playing Station (PVP) - 60,000/=
4. TV box- 90,000/=
5. Soundbar - 90,000/=
6. Bose wireless speaker - 80,000/=
7. hard disk drive 160gb- 45,000/=
8. Stun gun / Teaser- 69,000/=

Mahali: Kijitonyama
Simu: 0656190449
 
Back
Top Bottom