rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Amini ivyo, ungekua una mtu wa kumjaribisha ungetry, ziko vizuri
Hii inanifàaa sana mkuu ngoja nifanye mchakato kujaribisha nitaanzia kwako tuone kama yaliyomo yamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini ivyo, ungekua una mtu wa kumjaribisha ungetry, ziko vizuri
Unaweza jikuta unazalisha kesi ambazo hazina msingi wowoteUkikutwa nayo sio msala?
fresh, power output : 1000KVStun gun daa mkuu unanikumbusha mbali. Nimewahi kuimiliki hii kitu. Kuna mzee mmoja wa kisukuma aliniuzia kitambo..baadaye wajanja wakaniibia. Hii ya kwako highest output yake ni ngapi?
Stun gun / Teaser /Shocker
Itakusaidia kujilinda na uhalifu,
ina tochi na inapiga shoti.
bei: 69,000/=
Mahali: kijitonyama
simu: 0656190449
Bidhaa nyingine zinazopatikana
CCTV - 350,000/=
PVP(Portable Vision Playing Station) - 60,000/=
Alarm system - 300,000/=
TV BOX- 90,000/=
soundbar-95,000/=
Bose wireless speaker - 80,000/=
HDD 160GB - 45,000/=
iyo full kit ni bila hdd, ukiweka 500gb inachukua siku tatu, 1 tb inachukua wiki nzimaHiyo cctv memory yake kiasi gani??
Namaanisha inaweza chukua matukio ya muda gani
zipo izo sina aina tofautiNami nitahitaji ila sio hiyo yatorch
iyo full kit ni bila hdd, ukiweka 500gb inachukua siku tatu, 1 tb inachukua wiki nzima
iyo full kit ni bila hdd, ukiweka 500gb inachukua siku tatu, 1 tb inachukua wiki nzima
Ziko vizuri uwezo mkubwaUkipiga mtu shot asipo zimia kabisa atalala na ww mbele vibaya sana utakuwa umemzidishia mahasira
Unaweza ukampiga kiwango kidogo tuuh kummaliza nguvuSasa hii shot ukimpiga nayo teja wa uchochoroni si anaweza akafa jumla?[emoji4] [emoji4] mana afya zao Mungu ndo anajua
Camera nne, DVR na package yoteNapata camera ngapi kwa 350??
Kwa kawaida tukinunua pen huwa tunatest kwenye karatasi kama inaandika, vipi kwa upande wako tunakutest wewe mwenyewe au inakuaje?Unaweza ukampiga kiwango kidogo tuuh kummaliza nguvu
brand: bosemkuu nilikua naomba pia picha ya hiyo sound bar na brand yake