Simon Kaboja
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 165
- 117
- Thread starter
- #161
Kwa kujaribu functionality za device na ubora wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kujaribu functionality za device na ubora wake
Unaichaji na inauwezo mkubwa wa kutunza charge pia ni rechargeable device, kisha utumiaji unaweza tembea nayo au utumie muda wa tukio, utawasha kisha unapress button alafu unamgusisha mhalifu wako
sasa mpaka umgusishie,si atakua keshakulamba panga la uso?Unaweza kumpiga ili aishiwe nguvu au pia kumzimisha itategemea na kiwango cha shoti unayompiga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Auuzi BUNDUKI?? Ivi vya shot naona kam watu wazima awasikii
Hivi mkuu mfano mtu amekukaba ukampiga shoti si itakupitia mbaka wewe uliekabwa?Stun gun ni kifaa chenye uwezo wa kupiga shoti pia kuna tochi, ni kidogo unaweza tembea nacho Kama tochi ya kawaida, rechargeable device, kitakusaidia kujilinda na uhalifu wowote au ulinzi kwa kumpiga shoti mlengwa wako, mfano mzuri zinatumikaga kuwatuliza waalifu kwa kuwapunguza nguvu
Hiii inamana mkuu kibaka aliekuvizia akakukaba huwezi kumpiga hii kitu kwa maana wote mntaangukia puaAmna jiamini tu mkuu, ni ngumu mtu ku spot una nini mkononi maana wengi hawajui kama ni kadogo mtu anaeza hizi una simu! Cha msingi ni kumsakamizia ila pia hamtakiwi kushikana maana nadhani wote itawachapa short
hapana, sehemu ya kushikia haipitishi shotiHivi mkuu mfano mtu amekukaba ukampiga shoti si itakupitia mbaka wewe uliekabwa?
io tam saaanaStun gun / Teaser /Shocker
Itakusaidia kujilinda na uhalifu,
ina tochi na inapiga shoti.
bei: 75,000/=
Mahali: kijitonyama
simu: 0656190449
Muuliza swali amemaanisha kwamba mtu akikukaba miili yenu inakuwa imegusana, ukimpiga shoti si inawapitia wote?hapana, sehemu ya kushikia haipitishi shoti
Hapana. Hata mimi nilidhani hivyo, ila shoti inakuwa localized kwenye mwili wa yule ambaye amepigwaMuuliza swali amemaanisha kwamba mtu akikukaba miili yenu inakuwa imegusana, ukimpiga shoti si inawapitia wote?
Hizo ni nzuri, hazihitaji mlolongo wa vibali kuzinunua?Kuna stan gun zinauzwa pale Station kwenye duka la silaha la Tanganyika naona kama ni safe zaidi ya hii kwani zinapiga short umbali wa mita 3,sasa hii mpaka umguse adui si balaa hilo
Ni sawa lakini si mnakuwa mmegusana na mhalifu sasa ni vipi shot isije kwako wakati mwiki unapitisha umeme?hapana, sehemu ya kushikia haipitishi shoti
Mpaka umgusishe! Kama ana panga je?!Unaichaji na inauwezo mkubwa wa kutunza charge pia ni rechargeable device, kisha utumiaji unaweza tembea nayo au utumie muda wa tukio, utawasha kisha unapress button alafu unamgusisha mhalifu wako