Jimbo gani ligawanywe, kwanini?

Tupunguze na Visiwani iwe na majimbo mawili tu yaani Pemba na Zanzibar.
 
Jimbo la Ngara ni kubwa
Ni vyema tupate majimbo mawili ambayo ni Jimbo la Rulenge na Jimbo la Ngara
 
Jimbo la BUKOBA Vijijini ni kubwa mno
Jimbo la MULEBA kusini ni kubwa mno
Jimbo la KIGOMA kusini ni kubwa mno
 
Kumbe tuna hela,tunataka tena kuongeza wasinziaji afu baada ya masaa 6 tunawalipa laki 3,nchi ya kijinga sana hii
 
Hivi si tulimsikia chura kiziwi akisema hakutakuwa na mgawanyo wa maeneo mapya ya utawala kwa kigezo cha Bajeti!
Mbona wanatofautiana na huyo jaji!?

NB: ni lini tumepata tume huru ya uchaguzi? Mchakato wake ulifanyikaje?
 
Sasa lile jengo la bunge pale dodoma si litabaki tupu?
 
Hakuna sababu ya kugawa majimbo ni kutuongezea gharama za bure walipa kodi, tena majimbo yapunguzwe
 
Hivi si tulimsikia chura kiziwi akisema hakutakuwa na mgawanyo wa maeneo mapya ya utawala kwa kigezo cha Bajeti!
Mbona wanatofautiana na huyo jaji!?

NB: ni lini tumepata tume huru ya uchaguzi? Mchakato wake ulifanyikaje?
Ni mambo ya ajabu sn kule bungeni wamejaa wagonga meza tupu hakuna la maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…