Pre GE2025 Jimbo la Arusha Mjini sasa limekuwa kama Pombe ya Ngomani, Unanunua Wapambe wakuombe Ugombee Ubunge halafu unawakubalia, Imeisha

Pre GE2025 Jimbo la Arusha Mjini sasa limekuwa kama Pombe ya Ngomani, Unanunua Wapambe wakuombe Ugombee Ubunge halafu unawakubalia, Imeisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makonda anaweza kugombea popote nchini..na akakubalika..
Nenda Arusha...jiji la watu wenye 'njaa' ya pesa..( Usiniulize zinapatikanaje)..wasikilize wanasemaje kumuhusu Makonda...
Mbunifu mkubwa!
 
Dunia nzima inafahamu, inasemekana Tanzania ndio nchi iliyosababisha Nchi zingine za kiafrica zinyimwe misaada na Trump
Trump anachukulia siasa za vibaraka.....akina Zelensky na wenzake huku Afrika....

Trump anaweza kuipenda Tanzania kuliko Brussels aliowatenga kikao cha Saudia..... Brussels Ina VIBARAKA wengi katika hivi vyama visivyo na dola.....
 
Kivipi?

Ubunge ni wa watanzania wote, popote unapoona ni sawa wewe kugombea, unaweza gombea, as long as passport yako na nida yako zinasoma wewe ni mtamzania.

Gambo kazaliwa kariakoo, alikuja chuo Arusha, then akaja kama mkuu wa Mkoa, na leo ni Mbunge.
 
Kivipi?

Ubunge ni wa watanzania wote, popote unapoona ni sawa wewe kugombea, unaweza gombea, as long as passport yako na nida yako zinasoma wewe ni mtamzania.

Gambo kazaliwa kariakoo, alikuja chuo Arusha, then akaja kama mkuu wa Mkoa, na leo ni Mbunge.
Ndio maana tunasema ni pombe ya ngomani, huyo Makonda kwanini asigombee kwao Kolomije
 
Bado sijajua Kwanini Wanaccm wa Arusha Mjini wamekuwa Wajinga kiasi cha kutia aibu namna hii, Yaani Diwani mzima baada ya"kununuliwa"anamwaga chozi hadharani kumlilia mtu mgeni na ambaye tayari anacho cheo kingine ili agombee Ubunge!

Huu ni udhalilishaji wa Wana Arusha waliokipigania chama chao kwa miaka yote na kiukweli haukubaliki, Inakuwaje haya mambo mbona ni ya kipumbavu sana!

Mrisho Gambo alipata nafasi ya kugombea Ubunge baada ya ujinga kama huu huu, Sababu kuu iliyompa nafasi hiyo ni kumkomoa Godbless Lema kwa kushirikiana na Dikteta Magufuli!

Soma Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Hivi Wana Arusha mtakuwa Jamvi la Wageni hadi lini, hivi ni kweli kwamba hamna akili kabisa nyinyi wote?

Kuna Haja ya Nabii wa Mungu Godbless Lema kutafakari upya na kurejea kuwakomboa Wana Arusha waliogeuzwa mifugo na Viongozi wa Mkoa wao, lakini tu ikiwa kutakuwa na Reform, Mambo wanayofanyiwa Watu wa Arusha ni ya Aibu sana na hayakubaliki.
Zile mbwembwe Zote ilikuwa gia 😁😁👇👇

View: https://x.com/TanzaniaDigest/status/1894733650840654253?t=jlbatsAYYMubIzI_UPHwfQ&s=19
 
Makonda hategemei kura halali, anategemea mbeleko ya vyombo vya dola.
Mimi sijamsikia Makonda akitoa kauli yake kuwa atagombea jimbo la Arusha! Hofu ya nini? Kwani waArusha si wameona matendo ya mbunge wao wa sasa? Wakati ukifika wataamua wenyewe!!! Pia hakuna mwenye hatimiliki ya hilo jimbo, yeyote anaweza kugombea! Ni ushamba kufikiri ni lazima awe Gambo tu!
 
Mimi sijamsikia Makonda akitoa kauli yake kuwa atagombea jimbo la Arusha! Hofu ya nini? Kwani waArusha si wameona matendo ya mbunge wao wa sasa? Wakati ukifika wataamua wenyewe!!! Pia hakuna mwenye hatimiliki ya hilo jimbo, yeyote anaweza kugombea! Ni ushamba kufikiri ni lazima awe Gambo tu!
Hukuona diwani akimwaga chozi kumlilia mmasai mwenzie makonda agombee?
 
Mimi sijamsikia Makonda akitoa kauli yake kuwa atagombea jimbo la Arusha! Hofu ya nini? Kwani waArusha si wameona matendo ya mbunge wao wa sasa? Wakati ukifika wataamua wenyewe!!! Pia hakuna mwenye hatimiliki ya hilo jimbo, yeyote anaweza kugombea! Ni ushamba kufikiri ni lazima awe Gambo tu!
Kwani wananchi ndio wanaoamua na nani awe mbunge?
 
Back
Top Bottom