Pre GE2025 Jimbo la Ilemela 2025 linakwenda na Qwihaya, Angelina Mabula aanza ziara ya kuaga wapiga kura wake katika kata zote

Pre GE2025 Jimbo la Ilemela 2025 linakwenda na Qwihaya, Angelina Mabula aanza ziara ya kuaga wapiga kura wake katika kata zote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
CCM na wana-Ilemela wameshafanya maamuzi, Ilemela mwaka 2025 jimbo linakabidhiwa kwa Qwihaya. Angelina Mabula ameshaanza ziara katika Kata mbalimbali za jimbo hilo kwa ajili ya kuaga wapiga kura wake, na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote.

Qwihaya ni mzaliwa wa Ilemela, njia ya kwenda airport, na sasa anaishi Kata ya Kiseke. Qwihaya amekuwa mhimili mkuu wa maendeleo tangu apate nafasi ya U-NEC
 
CCM na wana-Ilemela wameshafanya maamuzi, Ilemela mwaka 2025 jimbo linakabidhiwa kwa Qwihaya. Angelina Mabula ameshaanza ziara katika Kata mbalimbali za jimbo hilo kwa ajili ya kuaga wapiga kura wake, na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote.

Qwihaya ni mzaliwa wa Ilemela, njia ya kwenda airport, na sasa anaishi Kata ya Kiseke. Qwihaya amekuwa mhimili mkuu wa maendeleo tangu apate nafasi ya U-NEC
Siyo rahisi ki hivyo, Jimbo la ilemela ni Jimbo Gumu hasa Kwa uchaguzi wa ndani wa chama, na Ili ushinde lazima mgonbea awe amezishika Kata 6 ambazo Huwa za kimkakati zaidi,
Tofauti na hapo atakuwa na watu wengi wanaomtia moyo Kwa kusema tutakupa kura , lakini ndani ya box kura zinaenda Kwa mwingine.
 
Back
Top Bottom