MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,365
Hatuko kwenye misifa ya kijinga, ukipata milioni unajiona tajiri unataka wakujue. Wanyiramba sio wa maneno maneno na kelele nyingi. Nenda iramba kajionee hayo matembe unayoyasema. Utakufa na chuki zako. Nenda singida mkoani pale uone wanyiramba matajiri lakini husikii kelele za kishamba.Wangekuwa siyo wavivu mgemchangua Mwigulu pamoja na kuwa na nyumba za tembe? chapeni kazi nitajie mnyiramba mmoja tajiri anayejulikana hapa nchini