The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 21
Habari za uhakika kutoka Karagwe zinadai CCM wamenyolewa manyoya kwa maji baridi na hawakuondoka na kitu kata ya Ndama. Jimbo hili ni kubwa kwa hiyo sherehe hazijaanza ila council huenda imeanguka mikononi mwa CHADEMA tayari. Shangilia ushindi unakuja