Jimbo la kigamboni halina uwakilishi tangu Dr.Ndugulile afariki

Jimbo la kigamboni halina uwakilishi tangu Dr.Ndugulile afariki

Ndio ujue kwamba wabunge hawana impact yeyote kwa wanachi.
 
Tangu Dr. NDUGULILE afariki ni miezi sasa, kigamboni haina mbunge wala hakuna uchaguzi mdogo, tatizo nini?

Soma Pia: Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Tume imesahau au wanasiasa wamesahau, au muda hauruhusu?
Gentleman,
Iko hivi,
ikiwa umesalia chini ya mwaka moja pafanyike uchaguzi mkuu na mbunge au muwakilishi wa Jimbo fulani akaaga dunia, basi hapatafanyika uchaguzi mpaka uchaguzi mkuu,

hiyo ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi 🐒
 
Tunajiwakilisna wenyewe acha ujinga... Kigamboni ni akili kubwa
 
wabunge wanalipwa milioni 500 za kiinua mgongo.

Pesa za mfuko wa jimbo zinamsimamizi ambaye ni mbunge.

Jimbo lina muwakilishi bungeni.

Hujajibu swalu; kuna tofauti gani ya Kigamboni na majimbo yenye hao wabunge hewa wapiga makofi tu?
 
Back
Top Bottom