Mkuu,Katika siasa kama ukichukulia maamuzi kwamba mtu hajakuchagua ni kwamba hakupendi basi utakuwa hujuai siasa.Maamuiz ya kisiasa yana mambo mengi sana ila kupendwa na kutopendwa sio moja wapo.Binafsi sidhani kama sipendwi ninachoamini ni kwamba Wajumbe walifanya uamuzi na uamuzi wao lazima uheshimiwe
Mkuu Ndugulile Namheshimu sana,Ila naamini hata yeye atanipa kura yake nikishazindua hii movement.Ni safari ya kwenda juu ambayo itamfaa kuiunga mkono.Tunachotaka ni kujenga jamii mpya,taifa jipya watu wapya.