Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Endasak, sehemu gani kuna nyumba ya tembe? kuna nyumba za miti zimeezekwa kwa batiMbona Makuyuni Dareda na Indasaki ziko tembe au hujawahi kupita mitaa hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endasak, sehemu gani kuna nyumba ya tembe? kuna nyumba za miti zimeezekwa kwa batiMbona Makuyuni Dareda na Indasaki ziko tembe au hujawahi kupita mitaa hiyo?
Unakiri huku unakataa, Mhaya akizaliwa Dodoma anageuka kuwa mgogo?Kuna mhindi wa hivi huyo baba yake ndo chotara wa kihindi huyu ni mtanzania pure
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Mkuu siuende na wewe India au Zanzibar ukawe DiwaniAt just 39, mother-of-three Tanzeela Qambrani has made history. Qambrani secured a seat in the legislature of Sindh province in Pakistan, making her the first member of the Sheedi minority to become a lawmaker in Pakistan. Unlike other minorities in the country, the Sheedis can trace their roots far beyond Sindh — they are the descendants of the African slaves, sailors, and soldiers who made South Asia their home in centuries past.
Source: THE DIPLOMAT
Hicho ni kisa cha Tanzeela Qambrani MPAKISTANI MWENYE ASILI YA AFRIKA MASHARIKI.
Tanzeela Qambrani
Nawewe unakomaa na huyu Mtanzania Seif Khamis Gulamali
👇
View attachment 2802406
View attachment 2802409
Ndugu Netanyahu acha roho mbaya.
Kwani hakuna wasukuma, wahaya, wagogo n.k Moshi na Arusha?Kwa nini hamkai kwenu Kama pameendelea kuliko kwingine!?.. disemba mnarudi Kama ng'ombe,makundi kwa makundi
Tupinge Ubaguzi.Mkuu siuende na wewe India au Zanzibar ukawe Diwani
Mhindi kuwa kiongozi Tanzania ni sawa lakini mchaga au msukuma kuwa kiongozi India ni ubaguzi?Tupinge Ubaguzi.
Utapigwa ban kwa sheria no.11 ya jf, iitwayo: name calling....mkuu( ukiripotiwa tayari umeenda)Wewe jamaa ni Gulamali mwenyewe unajipigia promo
Mimi ni jirani yako pale Igunga nyuma ya mashine za mpunga za Mabera kwenye zizi lako la mbuzi,tuwasiliane pm tuyajenge
Lete ushahidi wa Uhindi wake.Mhindi kuwa kiongozi Tanzania ni sawa lakini mchaga au msukuma kuwa kiongozi India ni ubaguzi?
Tuambie ni kabila gani na ni ukoo wa nani?Lete ushahidi wa Uhindi wake.
Wewe ndio unaetoa tuhuma hizo kuwa sio Mtanzania wewe ndio unatakiwa uthibitishe na uweke vielelezo.Tuambie ni kabila gani na ni ukoo wa nani?
Hakuna mtanzania anaitwa Gulamali, makabila yapo 123, yeye ni kabila gani?Wewe ndio unaetoa tuhuma hizo kuwa sio Mtanzania wewe ndio unatakiwa useme na uweke vielelezo.
Nyingi ndiyo mlio wengi kwa watu na hamrusi kwenu mpaka disemba,na kwenu 'kumeendelea',Sasa kwa nini mpo wengi kwa wengine badala ya kwenu kulikoendelea!?Kwani hakuna wasukuma, wahaya, wagogo n.k Moshi na Arusha?
Kajisaidie ulaleNyingi ndiyo mlio wengi kwa watu na hamrusi kwenu mpaka disemba,na kwenu 'kumeendelea',Sasa kwa nini mpo wengi kwa wengine badala ya kwenu kulikoendelea!?
Majina mengi ni ya kigeni kama vile Natanyahu.Hakuna mtanzania anaitwa Gulamali, makabila yapo 123, yeye ni kabila gani?
Kunyweni mbege na endeleeni kuendekeza ulevi kiasi dada zenu wanaenda Kenya kukunwaKajisaidie ulale
Acha kuwaza ngono pekeeKunyweni mbege na endeleeni kuendekeza ulevi kiasi dada zenu wanaenda Kenya kukunwa