Uchaguzi 2020 Jimbo la Nkasi ideally liko wazi. Je, ni Kessy tena au dada wa CHADEMA ataunga juhudi?

Uchaguzi 2020 Jimbo la Nkasi ideally liko wazi. Je, ni Kessy tena au dada wa CHADEMA ataunga juhudi?

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
21,859
Reaction score
19,736
Wasalam,

Nasema hivi, safari hii Kessy atamjua na kumuona adui wake live bila chenga. Suala liko hivi; Dada Kenani msimamo wa CHADEMA uko wazi hawautambui uchaguzi tena, mbali zaidi wanaomba urudiwe kwa kutumia kanuni hiyo hiyo haiwezekani ule mchuzi ili hali nguruwe ni haramu (hamna kusema nilikunywa mchuzi tu).

CHADEMA ndio iliyompa dhamana ya kugombea akashinda, kwa mujibu wa sheria zetu, ukivuliwa uanachama tayari na bunge halikutambui, ni suala la muda tu Kenani ni kuku wa kitoweo kwa ukaidi wa maagizo ya kamati kuu ya chama, adhabu anayostahili ni insubordination na remedies zake ni kumvua uanachama.

Sasa basi tuanzie hapo ,maamuzi itakuwa kutangaza Jimbo liko wazi, sasa basi kwa ushawishi aliokuwa nao Kessy kule Nkasi ni nani atamzuia akirudi tena ulingoni? Au ile kamati ya kuwaungisha juhudi watu watampa penalty ya goli lisilokuwa na golikipa afunge yule dada kwa masharti ya kubadilisha jezi? Je, ikitokea hili aliemuabisha Kessy bado tu hamjamjua?

It's the matter of very short time, the ghost who orchestrated this. He is going to reveal himself

Good day
 
Chochote kinawezekana mkuu. Wanaweza kumvua uanachama lakini Bunge likakataa kutambua uvuaji huo uanachama na wakasema vyovyote vile anabaki kuwa Mbunge kutoka CHADEMA. Unakumbuka yule bingwa wa Ndanda?

Kwa sasa usihangaike Sana na sheria Wala taratibu za katiba. Havina dili tena hivyo, Sasa hivi kipaumbele ni uchama na chama kinasemaje.
 
Chochote kinawezekana mkuu. Wanaweza kumvua uanachama lakini bunge likakataa kutambua uvuaji huo uanachama na wakasema vyovyote vile anabaki kuwa mbunge kutoka chadema. Unakumbuka yule bingwa wa Ndanda?

Kwa sasa usihangaike Sana na sheria Wala taratibu za katiba. Havina dili tena hivyo, Sasa hivi kipaumbele ni uchama na chama kinasemaje

Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
Nakumbuka kijana Mwambe sheria ilipinda kwake
 
Jipe moyo na Kessy wakooo

Kazi imeishaaa hioooo

Ukulelewa maana ya imeishahioo kwenye Uchaguzi

Sahaun hata mb mmoja kushindwa na Mahakama mjipange na kakclub chenu kapya kamenifurahisha na vmaalum vyake
 
Back
Top Bottom