Uchaguzi 2020 Jimbo la Nkasi ideally liko wazi. Je, ni Kessy tena au dada wa CHADEMA ataunga juhudi?

Uchaguzi 2020 Jimbo la Nkasi ideally liko wazi. Je, ni Kessy tena au dada wa CHADEMA ataunga juhudi?

Si viongoxo wotr tangu mernyrkiti, katibu etc wamewapa wake zao ubunge.
Haileti maana lumzibia dada wa watu kisa wao wameshindwa na kashinda yeye.
Nenda ngumbaru, hufai kuwa hapa.
 
Wenyeviti wa hizi saccos wamekuwa kama miungu watu kwa wanachama wao.
 
Hii ni plan tangu mwanzo na yeye alijua atatangazwa, hivo anachosubiria ni tamko tu kuwa amevuliwa uanachama naye anauvaa wa upande wa pili ana rudi na atapitishwa kisha kutangazwa,
 
Supika hata kubali, alihaidi kuwalinda, hivyo hata akivuliwa ataendelea kuwa Mbunge kama yule wa Ndanda!
 
Kessy atakiwi coz ni kiropo ropo angewasaliti wenzake, thus wamemtosa.
 
Umeandika vema. CCM watafanya hivi: atajiunga CCM then wanaiba kura Uchaguzi ukirudiwa
 
Nachotamani kusikia kwa sasa ni CHADEMA kurudisha pesa za ruzuku zitakazotokana na uwakilishi wa huyu dada...
 
Kwa maana hiyo chadema ndo itakuwa imekufa kifo cha mende huko Nkansi?! What a plan [emoji848][emoji25]
Acha ujinga, kutokuwa na mbunge mahali sio kufa kwa chama eneo hilo. Hizo in akili za wapi? Kote huko Chadema ilikoshinda na kunyang'anywa ushindi kulikuwa na wabunge awali? Ilikuwa hakuna lakini chama kilikuwepo kama kilivyo ccm huko Arusha, Iringa au Kigoma na wabunge wao hawakuwepo
 
Chochote kinawezekana mkuu. Wanaweza kumvua uanachama lakini bunge likakataa kutambua uvuaji huo uanachama na wakasema vyovyote vile anabaki kuwa mbunge kutoka chadema. Unakumbuka yule bingwa wa Ndanda?

Kwa sasa usihangaike Sana na sheria Wala taratibu za katiba. Havina dili tena hivyo, Sasa hivi kipaumbele ni uchama na chama kinasemaje.
Katiba na taratibu wakati wa sasa havifuatwi tena. Kilichopo ni kukomoana tu. Mama ataendelea kuwa mbunge bila chama. Spika Ndugai ndiye kila kitu.
 
Jipe moyo na Kessy wakooo

Kazi imeishaaa hioooo

Ukulelewa maana ya imeishahioo kwenye uchaguzi

Sahaun hata mb mmoja kushindwa na mahakama mjipange na kakclub chenu kapya kamenifurahisha na vmaalum vyake
Ulifaulu KKK? Rudi shuleni.
 
Haki yake nikuwapigania wananchi wa Nkasi na tayari ashaipata Sasa Sijui wewe unataka apiganie haki ipi!
Kuna watu hudhani mbunge ni mwakilishi wa chama chake. Watu kama hawa wapewe elimu kuwa mbunge anawakilisha wananchi. Wananchi wamemchagua akawawakilishe hivyo hao wanaosema ana tamaa kwa kuwa kutimiza wajibu wake wana uelewa finyu tu.
 
Ana tamaa sana huyo binti. Anadhani maisha ni kuwa mbunge tu? Ajifunze kujitoa kupigania haki.
Wewe umekwisha kuipigania hiyo haki ndugu keyboard warrior?
2607682_Screenshot_20201101-2117262.jpg
 
Kuna watu hudhani mbunge ni mwakilishi wa chama chake. Watu kama hawa wapewe elimu kuwa mbunge anawakilisha wananchi. Wananchi wamemchagua akawawakilishe hivyo hao wanaosema ana tamaa kwa kuwa kutimiza wajibu wake wana uelewa finyu tu.
Sheria itungwe iwe wazi ,ingekuwa mzuri Sana hakuna ambaye angelalamika.CDM,CCM ,ACT wangejua hilo.na si kuvunja Sheria,kwanini kwa manufaa ya upande mmoja
 
Back
Top Bottom