NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ili ndo jibu mubashara na lauhakika.Wakimvua uanachama anahamia CCM na anashinda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ndo jibu mubashara na lauhakika.Wakimvua uanachama anahamia CCM na anashinda!
Ana tamaa sana huyo binti. Anadhani maisha ni kuwa mbunge tu? Ajifunze kujitoa kupigania haki
Si Viongozi wote tangu Mwenyekiti, Katibu etc wamewapa wake zao Ubunge.Very true hilo jimbo lazima upinzani ushinde, iwe mvua iwe jua
Itabidi akubali.Sorry nilikuwa offline. The Lady has already been sworn in!Kessy vipi atakubali?
unafahamu kiasi cha gharama alizotumia kushinda ubunge? au unadhani yeye hana familia inayomtegemea? amekua na tamaa baada ya kushinda ubunge...wakati anapambana jukwaani mlimuita Kamanda, acheni ufa.la nyie CHADEMAAna tamaa sana huyo binti. Anadhani maisha ni kuwa mbunge tu? Ajifunze kujitoa kupigania haki.
CCM hawawezi kumsimamisha Kessy hata Udiwani, hauziki. Kwanza CCM Wilaya na Mkoa walikuwa wamemwandikia taarifa mbaya ya ukiukaji wa maadili, akawadanganya kina Bashiru kwamba anaonewa kwa vile amewabana wafanyabiashara ambao ni marafiki wa viongozi wa CCM nao wakarudisha jina. Uchaguzi wa Nkasi kaskazini uliisha siku CCM iliporejesha jina lake.Kessy vipi atakubali?
Huu ujinga wasimulie wapuuzi wenzio, hapa hatukaribishi wajinga.Si viongoxo wotr tangu mernyrkiti, katibu etc wamewapa wake zao ubunge.
Haileti maana lumzibia dada wa watu kisa wao wameshindwa na kashinda yeye.
TutawaelewaKwa maana hiyo chadema ndo itakuwa imekufa kifo cha mende huko Nkansi?! What a plan [emoji848][emoji25]
aliekwambia MamaTanzania atashiriki marudio ni naniHilo jimbo lipo kuhalalisha wizi hivyo Aida khenan atakimbilia NCCR mageuzi kwa mama Tanzania halafu atalirudishiwa