TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Hakuna mbingu, ukifa hutajua chochote, hutasikia chochote wala hutahisi chochote. Kama ulivyokuwa kabla hujazaliwa hakukuwa na kitu basi ndio hivyo hivyo.

Kama kuna mwenye ushahidi wa kuwepo maisha baada ya kifo aje alete hapa ila pia awe na experience (yani awe alishawahi kufa)
 
Nawapa pole familia ya Mzee Carter kwa kuondokewa na baba yao. Mungu awatangulie kwenye kipindi hiki kigumu wanachopitia. Pia nitumie nafasi hii kuwaasa wanafamilia kutoingia kwenye mgogoro wa kugombania mirathi baada ya msiba kwisha. Wamteue msimamizi wa mirathi mwenye hofu ya Mungu.
Maccm yanawazaga mali za urithi tu wachawi wakubwa
 
Hakuna mbingu, ukifa hutajua chochote, hutasikia chochote wala hutahisi chochote. Kama ulivyokuwa kabla hujazaliwa hakukuwa na kitu basi ndio hivyo hivyo.

Kama kuna mwenye ushahidi wa kuwepo maisha baada ya kifo aje alete hapa ila pia awe na experience (yani awe alishawahi kufa)
Wewe umejuaje ukifa hutajua chochote? Ushawahi kufa?
 
kwa miaka 100 aliyoishi ilimfaa sana apumzike tayari kwa safari ya kuelekea. kwa baba muumba
Hapa akiwa na mwezi mmoja
rs2366_01_lillian_holds_jimmy_at_one_month (1).jpg
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Cc. Mchungaji Gwajima (mfufuaji)
Mfalme Zumaridi (alikwenda kukutana na mungu)
Prophet Geodavie (anapiga story na mungu daily, mbinguni kwake ni kama kwenda Dubai).
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Mm nlipokufa babu alikuja kunichukua na kunipeleka shambani kwake, hv navoandika hapa ndo nimemaliza kuvuna mpunga kesho tunauleta hapo daslamu. Ila nilipokufa nilikutana na magaidi wa MIDO ISTI
 
Back
Top Bottom