TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

Kaka kitu kama hujui unakaa kimya usiaibike, hiyo kashfa ilimuhusu Rais Richard Nixon
Sikusema ilimhusu Carter bali nimesema nimekumbuka tu
Najua ilikuwa miaka ya 70 hiyo kashfa ila Carter alikuja kuwa Rais baada ya Ford

Huenda nimeandika kama kashfa ilimhusu Jimmy ila sikuwa na maana hiyo
Samahani kwa maandishi
Ila nakumbuka miaka hiyo kwani nilikuwa kijana enzi hizo 😄
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Na wale walioamini na wakatenda mema, hao ni watu wa Peponi; humo watakaa milele."
(Surat Al-Baqara, 2:82)
"Na wale waliokufuru na wakakanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni; humo watakaa milele."
(Surat Al-Baqara, 2:39)
HAPA SIO MZUNGU , MWARABU AU MWAFRIKA NA MUHINDI.
Ukifa against Islam ni hasara kwa mujibu wa Quran
 
View attachment 3188238

Former US President Jimmy Carter has died aged 100, the centre he founded has confirmed.

The former peanut farmer lived longer than any president in history and celebrated his 100th birthday in October.

The Carter Center, which advocates for democracy and human rights around the world, said he died on Sunday afternoon at his home in Plains, Georgia.

The Democrat served as president from 1977 to 1981, a period beset by economic and diplomatic crises.

After leaving the White House with low approval ratings, his reputation was restored through humanitarian work which earned him the Nobel Peace Prize.

View attachment 3188240

"My father was a hero, not only to me but to everyone who believes in peace, human rights, and unselfish love," his son, Chip Carter, said in a statement.

"The world is our family because of the way he brought people together, and we thank you for honouring his memory by continuing to live these shared beliefs."

Carter - who prior to becoming president was governor of Georgia, a lieutenant in the US navy and a farmer - is survived by his four children, 11 grandchildren and 14 great-grandchildren.

His wife, Rosalynn, who he was married to for 77 years, died in November 2023.

Since 2018 and the death of George HW Bush, he was the oldest surviving US president.

Carter stopped medical treatment for an undisclosed illness last year and instead began receiving hospice care at his home.

President Joe Biden and First Lady Jill Biden said the world had "lost an extraordinary leader, statesman and humanitarian".

Describing him as "a dear friend" and "a man of principle, faith and humility", they added: "He showed that we are a great nation because we are a good people – decent and honorable, courageous and compassionate, humble and strong."

"The challenges Jimmy faced as president came at a pivotal time for our country and he did everything in his power to improve the lives of all Americans," President-elect Donald Trump wrote on social media.

"For that, we all owe him a debt of gratitude."

Carter's presidency will be remembered for his struggles in dealing with acute economic problems and several foreign policy challenges, including the Iran hostage crisis, which ended with the deaths of eight Americans.

There was, however, a notable foreign policy triumph in the Middle East when he helped broker an accord between Egypt and Israel, signed at Camp David in the US in 1978.

But that seemed a distant memory two years later, when voters overwhelmingly chose Republican Ronald Reagan, who had portrayed the president as a weak leader unable to deal with inflation and interest rates at near record highs.

Carter lost the 1980 election by a landslide, winning only six US states plus Washington DC.

In the aftermath of such a heavy defeat, Carter was frequently held up by Republicans as an example of liberal ineptitude.

Meanwhile, many in his own party either ignored him or viewed his presidential shortcomings as evidence their brand of Democratic politics or policy was a better way.

Today many on the right still deride the Carter years but as the decades passed, his humanitarian efforts and simple lifestyle began to shape a new legacy for many Americans.

After leaving the White House, he became the first and only president to return full-time to the house he lived in before politics - a humble, two-bedroom ranch-style home.

He chose not to pursue the lucrative after-dinner speeches and publishing deals awaiting most former presidents, telling the Washington Post in 2018 that he never really wanted to be rich.

Instead, he spent his remaining years trying to address global problems of inequality and disease.

He also teamed up with Nelson Mandela to found The Elders, a group of global leaders who committed themselves to work on peace and human rights.

In accepting his Nobel prize in 2002 - only the third US president to receive it - he said: "The most serious and universal problem is the growing chasm between the richest and the poorest people on Earth."

In a statement, former President Bill Clinton and wife Hillary Clinton said he "worked tirelessly for a better, fairer world", noting his humanitarian, environmental and diplomatic efforts.

"Guided by faith, President Carter lived to serve others - until the very end," they added.

Former President Barack Obama paid tribute to Carter's "decency" and said "he taught all of us what it means to live a life of grace, dignity, justice, and service".

Republican former President George W Bush, meanwhile, said Carter "dignified the office" and that "his efforts to leave behind a better world didn't end with the presidency".

President Biden said a state funeral would be held in Washington DC.
Viongozi ambao hawaibi kura wanaishi muda mrefu sana
 
#TANZIA Rais wa 39 wa Marekani Jimmy Carter, amefariki dunia Jumapili Disemba 29, 2024, baada ya kukaa kwa zaidi ya mwaka mmoja akiwa katika uangalizi wa madaktari.

Carter ambaye alitimiza miaka 100 Oktoba 1 na ndiye Rais aliyeishi kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Marekani, amefariki nyumbani kwake huko Plains Jumapili akiwa amezungukwa na familia, kwa mujibu wa kituo cha Carter.
Qur'an inaeleza kwamba maisha ya dunia ni ya muda na hayana uzito ukilinganisha na Akhera:

"Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Na hakika nyumba ya Akhera ndiyo bora kwa wachamungu. Basi hamfahamu?"
(Surat Al-An'am, 6:32)
 
#TANZIA Rais wa 39 wa Marekani Jimmy Carter, amefariki dunia Jumapili Disemba 29, 2024, baada ya kukaa kwa zaidi ya mwaka mmoja akiwa katika uangalizi wa madaktari.

Carter ambaye alitimiza miaka 100 Oktoba 1 na ndiye Rais aliyeishi kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Marekani, amefariki nyumbani kwake huko Plains Jumapili akiwa amezungukwa na familia, kwa mujibu wa kituo cha Carter.
Inatosha miaka 100 yote ya nini? apumzike ni muda mrefu sn ameishi
 
Hata JK ataishi muda mrefu sana,hakupenda wizi WA kura!

JPM, Mkapa, waliiba kura ikijibu mapema!

Saa100 online
 
Jimmy Carter alifanikisha amani kati ya Misri na Israel pia alipigania sana kupatikana usawa kati wa wenye nacho na makabwela duniani, Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani.
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Mbingu haipo.

If heaven was real whitemen would have kept the Bible far away from black people like how they did with wealth and knowledge.

Wazungu walitupa dini free kabisa ili kushea mbingu na sisi waafrika, Lakini hawawezi kutupa free travel visa au free permanent resident kushea ardhi yao ya duniani na sisi.

Bado huoni tu kwamba tulipigwa changa la macho kuhusu uwepo wa hiyo mbingu?
 
Back
Top Bottom