TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Hakuna mbingu, ukifa hutajua chochote, hutasikia chochote wala hutahisi chochote. Kama ulivyokuwa kabla hujazaliwa hakukuwa na kitu basi ndio hivyo hivyo.

Kama kuna mwenye ushahidi wa kuwepo maisha baada ya kifo aje alete hapa ila pia awe na experience (yani awe alishawahi kufa)
 
Maccm yanawazaga mali za urithi tu wachawi wakubwa
 
Wewe umejuaje ukifa hutajua chochote? Ushawahi kufa?
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Cc. Mchungaji Gwajima (mfufuaji)
Mfalme Zumaridi (alikwenda kukutana na mungu)
Prophet Geodavie (anapiga story na mungu daily, mbinguni kwake ni kama kwenda Dubai).
 
Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?

Ajibu mwenye eksipiriensi
Mm nlipokufa babu alikuja kunichukua na kunipeleka shambani kwake, hv navoandika hapa ndo nimemaliza kuvuna mpunga kesho tunauleta hapo daslamu. Ila nilipokufa nilikutana na magaidi wa MIDO ISTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…