Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hakuna mbingu, ukifa hutajua chochote, hutasikia chochote wala hutahisi chochote. Kama ulivyokuwa kabla hujazaliwa hakukuwa na kitu basi ndio hivyo hivyo.Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?
Ajibu mwenye eksipiriensi
Maccm yanawazaga mali za urithi tu wachawi wakubwaNawapa pole familia ya Mzee Carter kwa kuondokewa na baba yao. Mungu awatangulie kwenye kipindi hiki kigumu wanachopitia. Pia nitumie nafasi hii kuwaasa wanafamilia kutoingia kwenye mgogoro wa kugombania mirathi baada ya msiba kwisha. Wamteue msimamizi wa mirathi mwenye hofu ya Mungu.
Wewe umejuaje ukifa hutajua chochote? Ushawahi kufa?Hakuna mbingu, ukifa hutajua chochote, hutasikia chochote wala hutahisi chochote. Kama ulivyokuwa kabla hujazaliwa hakukuwa na kitu basi ndio hivyo hivyo.
Kama kuna mwenye ushahidi wa kuwepo maisha baada ya kifo aje alete hapa ila pia awe na experience (yani awe alishawahi kufa)
Huyu mzee alikuwa mgumu sana kufa. Aliomba na akawekwa hospice bado hakufa, akaishia ku graduateJimmy Carter, 39th president and Nobel Peace Prize winner, dies at 100, his son says
Hapa akiwa na mwezi mmojakwa miaka 100 aliyoishi ilimfaa sana apumzike tayari kwa safari ya kuelekea. kwa baba muumba
Kama nilivyokuwa sijui kitu kabla sijazaliwa ndivyo hivyo nitakavyokuwa baada ya uhai kuisha.Wewe umejuaje ukifa hutajua chochote? Ushawahi kufa?
Umeshawahi kufa?Kama nilivyokuwa sijui kitu kabla sijazaliwa ndivyo hivyo nitakavyokuwa baada ya uhai kuisha.
Cc. Mchungaji Gwajima (mfufuaji)Hivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?
Ajibu mwenye eksipiriensi
Carter alihusika na hiyo kashfa?Nimekumbuka na Kashfa ya Watergate
Apumzike mzee Carter
Zimua na kali usipende kutumia dry unaona unavyotunga sentensi isiyo Γ±a kichwa wala miguuHivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?
Ajibu mwenye eksipiriensi
Hapana hakuhusika bali NixonCarter alihusika na hiyo kashfa?
Nimewahi kuzaliwa nikiwa tabula rasa.Umeshawahi kufa?
Ushawahi kufa?Nimewahi kuzaliwa nikiwa tabula rasa.
Wewe ushawahi?Ushawahi kufa?
Mbona hujibu swali langu? Wewe ushawahi kufa?Wewe ushawahi?
Mm nlipokufa babu alikuja kunichukua na kunipeleka shambani kwake, hv navoandika hapa ndo nimemaliza kuvuna mpunga kesho tunauleta hapo daslamu. Ila nilipokufa nilikutana na magaidi wa MIDO ISTIHivi na wazungu tutakutana nao mbinguni tukifa ama wao wanakutana huko bara lao la ulaya?
Ajibu mwenye eksipiriensi
Ndo niko hapa nyumbani kwa marehemu nimekuja kwa miguu mana Mm n mwana mazoeziDuh! Nawe una miaka mia na unachapa vizuri marimba ya mzungu π€£π€£π€£π€£
Unaongelea mbingu ipi?mbinguni kuna nafsi tu, hakuna ke, me, black or white.
kila mtu anageuzwa roboti la kumsifu yahweh/allah/whatever.