Jimmy Mafufu aikana mimba ya Mashalove

Sawa kaka zetu endelezen ligi za nje lakini mkae mkijua hakuna mwanamke anaependwa kufichwa. Muangalien Rachel temu...mpaka kawa kama chiz siku izi.

Uzinz una gharama. Kama ni mwanaum utalipa gharam ya kumpoteza mwanamke aliekupenda hata kama hataondoka nyumban kwako. Wako wamama waliokubali kubaki kwa ajil ya kulea watoto na kufunika kombe lakin ndoa ni mfu ndani..upendo kwa mume wake umeisha kwa sababu ya choices he made back then.

Mke wa Jimmy anaweza kubaki kwa sabbu jimmy atajitetea sana na possibly kuomba msamaha but inaweza baki kovu kwa huyu mama ila tu kwa kupenda watoto wake atabaki alee watoto.

Nina mamdogo wangu mmoja mme wake kashamtesa muda mrefu na mambo ya infidelity. Mpaka leo yuko tu kwenye ndoa lakin upendo moyon juu ya huyo baba ulishaisha. Ila anasema anafanya majukumu yake vizuri kama mke (tukishakua, mama zetu tunapiga nao story hizi vizur tu). Lakini ndo anakwambia hahisi chochote juu ya huyu baba ila kwakua anakula anavaa maisha yanasonga. The society imeshajivalia bikini.
 
We jimmy mafuvu weee umepewa trako bin kundus na bi mashavu ukadaaata mwenyewe
 
Mzee Baba kajichanganya, ni bora hata ange dili na wale wa 'one night stand' wa kule kona Baa....mbona wapo wengi tu?.
 
Kayataka, wacha yamkute. Wanaume na nyie muangaliage wanawake wa kutoka nao wengine nyaya zimeungua vichwani mwao.
 
[emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kaazi anayo Bora lakini Sasa dume litatulia sheenzi na nyumba Ishakula kwake au kaipata Mzee baba?!!!
Nyumba ishaenda hiyo
 
Ndo tatizo la kudate Low IQ women, they'll ruin your reputation just in a minute, kuna wanawake before to sleep with them, you need to analyze all their moves
Na hiki ndicho kinachoharibu ndoa nyingi. Sio kama nasapoti kuchepuka ila ni vyema kama umeshindwa vumilia angalia na tafuta mwanamke atakayeweza kukuheshimu na mwenye hadhi na sio wanawake wa hovyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimecheka had machoziiii, wallah khaaaah
 
ETI ANATAKA DUNIA IJUE, KWA KIASI GANI MAFUFU MALAYA,
YEYE ANAYE LALA NA WAUME ZA WATU, YEYE SIO MALAYA!

@MAFUFU ANGALIA WATU WA KUTOKA NAO. HIZO TAKA TAKA NYINGINE WAACHIENI WCB
Yeye tayari ni Malaya mkongwe hilo halina ubishi. Unalijua BUNYERO wewe. Mashalove mbinguni haendi hata akilipiwa nauli ya ndege
 
Yeye tayari ni Malaya mkongwe hilo halina ubishi. Unalijua BUNYERO wewe. Mashalove mbinguni haendi hata akilipiwa nauli ya ndege
[emoji10][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbingunib haendi kaahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…