Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Nimewahi kusikia mahojiano yake mwenyewe anasema kuwa kamaliza la saba hajui kusoma wala kuandikaNa hiki ndicho kinachoharibu ndoa nyingi. Sio kama nasapoti kuchepuka ila ni vyema kama umeshindwa vumilia angalia na tafuta mwanamke atakayeweza kukuheshimu na mwenye hadhi na sio wanawake wa hovyo.