mbotoki
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 268
- 115
Imekuwa ni kawaida sana kwa wasanii wetu wa tasnia mbalimbali kufanya mambo fulani au hata vioja na kupelekea majina yao kutengeneza headlines katika vyombo mbali mbali vya habari (wengine nasikia hufikia hatua hata ya kutengeneza visa au hata kutoa fedha kwa waandishi ili tuwasikie na kuwasoma) na hivyo hujikuta majina yao hayakauki vinywani mwetu na kuzidi kuwaona mastaa.
Kuna jamaa mmoja anaitwa Jimy Mponda, jamaa huyu leo nimetazama movie zake za kibabe flani hivi, mie mwenyewe zikanipendeza kimtindo.
Nasikia ameshacheza movie kama;
- Shamba kubwa. Unga adui. Misukosuko.
- Double J.
E bana eh jamaa sijawahi kumuona gazetini wala kumsikia redioni. Labda nyinyi wenzangu. Ila muuzaji wa DVD aliniambia jamaa anauza sana kazi zake. Anatumia pia jina la Jimy Master.
Hapo nikajiuliza sasa kumbe bila mastory unaweza piga biashara ya kazi za sanaa?
Au ni uadilifu na nidhamu? Wito wangu kwa wasanii wengine wafuate mfano huu, na kwa sasa mascandal tuwaachie wakulima na watu wa Politiki.
Kuna jamaa mmoja anaitwa Jimy Mponda, jamaa huyu leo nimetazama movie zake za kibabe flani hivi, mie mwenyewe zikanipendeza kimtindo.
Nasikia ameshacheza movie kama;
- Shamba kubwa. Unga adui. Misukosuko.
- Double J.
E bana eh jamaa sijawahi kumuona gazetini wala kumsikia redioni. Labda nyinyi wenzangu. Ila muuzaji wa DVD aliniambia jamaa anauza sana kazi zake. Anatumia pia jina la Jimy Master.
Hapo nikajiuliza sasa kumbe bila mastory unaweza piga biashara ya kazi za sanaa?
Au ni uadilifu na nidhamu? Wito wangu kwa wasanii wengine wafuate mfano huu, na kwa sasa mascandal tuwaachie wakulima na watu wa Politiki.