Jina gani la mwana JF ukiliona tu unaangua kicheko?

Jina gani la mwana JF ukiliona tu unaangua kicheko?

Zamani hizo nlikuwa naenda kwa babu kusalimia, kipindi nipo mdogo miaka 7 au 6 hivi... natoka asubuhi asubuhi naenda kusimama barabarani... wakawa wanapita wale watu wanasalimiana... utaskia 'Naantombe Mushi, huyu anaitikia eeeek Mamboro'.... sasa hapo ni kama vile wamesalimiana, 'habari za asubuhi bwana Mushi,.. na Mushi akaitikia, nzuri sana Mamboro, na ukumbuke hapo Mamboro ni jina la ukooo
[emoji3][emoji3][emoji3]mamborooo
 
Back
Top Bottom