100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Naantombe Mushi sio poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mheshimiwa Ruto ndugu yangu…ni jina linakuchekesha au comments zangu😂
Comments zako tu me hooiiSasa mheshimiwa Ruto ndugu yangu…ni jina linakuchekesha au comments zangu😂
😂😂Nimefarijika ujue..Asante ndugu Mtanzania mwenzangu.Comments zako tu me hooii
Ni salamu naantombe kama sijakosea😀Ila Naantombe Mushi kiboko
S C hilo jina ni zuri asikutisheSasa mheshimiwa Ruto ndugu yangu…ni jina linakuchekesha au comments zangu😂
Unategemea kulala saa ngapi leo…maana mimi na wewe leo tumepuyanga sana majukwaani 🤣🤣S C hilo jina ni zuri asikutishe
Daah bado nipo macho sana mwananguUnategemea kulala saa ngapi leo…maana mimi na wewe leo tumepuyanga sana majukwaani 🤣🤣
Yeuyeeee…asante G😘😘
Sawa sawa mzazi wangu..Daah bado nipo macho sana mwanangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa anajiita Pakratatatumba sijui[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3]mamboroooZamani hizo nlikuwa naenda kwa babu kusalimia, kipindi nipo mdogo miaka 7 au 6 hivi... natoka asubuhi asubuhi naenda kusimama barabarani... wakawa wanapita wale watu wanasalimiana... utaskia 'Naantombe Mushi, huyu anaitikia eeeek Mamboro'.... sasa hapo ni kama vile wamesalimiana, 'habari za asubuhi bwana Mushi,.. na Mushi akaitikia, nzuri sana Mamboro, na ukumbuke hapo Mamboro ni jina la ukooo