Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Naantombe Mushi ni Mwanamke mkuu 😂 huamini?Sidhani. Tena mwanamke? Nope. Hii chai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naantombe Mushi ni Mwanamke mkuu 😂 huamini?Sidhani. Tena mwanamke? Nope. Hii chai.
Nkiwa hapo ntakustuaHata leo nimepita hapo shell ya massana nilikuwa naenda goba
pale lakini ni kazini tu na unapipita na kukaa sana maeneo hayoNkiwa hapo ntakustua
Maskani tupale lakini ni kazini tu na unapipita na kukaa sana maeneo hayo
Acha kupotosha.. mimi ni kidume cha mbegu mkuu... mpaka sasa nishapiga mimba 4 kwa wanawake watatu tofauti...Naantombe Mushi ni Mwanamke mkuu 😂 huamini?
Embu waaambie...
Hahahahaaa.. acha uwongo wewe.. ... tulisoma wote wapi hapo shule ganiii?Naantombe Mushi Jina la kike hili tulisoma nae huyu
Hamna bana .. hii ni salamu ya asubuhi kule kwetu uchagani...Naantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
Zamani hizo nlikuwa naenda kwa babu kusalimia, kipindi nipo mdogo miaka 7 au 6 hivi... natoka asubuhi asubuhi naenda kusimama barabarani... wakawa wanapita wale watu wanasalimiana... utaskia 'Naantombe Mushi, huyu anaitikia eeeek Mamboro'.... sasa hapo ni kama vile wamesalimiana, 'habari za asubuhi bwana Mushi,.. na Mushi akaitikia, nzuri sana Mamboro, na ukumbuke hapo Mamboro ni jina la ukoooNaantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
Mkikutana mjini msalimiane hivi hivi bwashee... Mbona hamsalimiani hivi.Hamna bana .. hii ni salamu ya asubuhi kule kwetu uchagani...
Tunasalimiana mbona mkuu... pita kule KKOO asubuhi kwenye maduka ya wachaga utaskiaMkikutana mjini msalimiane hivi hivi bwashee... Mbona hamsalimiani hivi.
Napenda Hivooo
Mmachame na Mmeru ni ndg?Zamani hizo nlikuwa naenda kwa babu kusalimia, kipindi nipo mdogo miaka 7 au 6 hivi... natoka asubuhi asubuhi naenda kusimama barabarani... wakawa wanapita wale watu wanasalimiana... utaskia 'Naantombe Mushi, huyu anaitikia eeeek Mamboro'.... sasa hapo ni kama vile wamesalimiana, 'habari za asubuhi bwana Mushi,.. na Mushi akaitikia, nzuri sana Mamboro, na ukumbuke hapo Mamboro ni jina la ukooo
Bila shaka umeamini nilivyokueleza jana na ukabisha sio? 😂😂Mkikutana mjini msalimiane hivi hivi bwashee... Mbona hamsalimiani hivi.
Napenda Hivooo
Ningekuwa na sikio la kuwasikia wakisalimiana .... Wangenichukia man nisingeacha kucheka.Bila shaka umeamini nilivyokueleza jana na ukabisha sio? 😂😂
Mie tena?😁
Mrembo wangu hujambo?Mie tena?😁
Sijambo HB wangu,mamboMrembo wangu hujambo?