Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Nipo njiani😂😂Njoo uchukue mwanangu mzuri😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo njiani😂😂Njoo uchukue mwanangu mzuri😍
........waiting 4uNipo njiani😂😂
Aaah weweee hiyo salamu hiyo.
Sana pamoja na avatar😄Mkuu jina langu linakuchekesha kweli??
Sidhani. Tena mwanamke? Nope. Hii chai.Mkuu hilo ni jina halisi sio masikhala
Jamani... Mbona jina langu lipo bomba sana mimi naitwa Cheese mzee wangu ni Maarifa
Nakadori siku kuu ya mwaka mpya naona chirstmass umenitupa usinisahuToa lokeshenii wewe tunyweeeeeee hadi asubuhi. Sio shida zetuu
Na bili tinachangia
Mualiko wapi sasa nijue kabisa km napanda train au basi😂Tunashkuru chirtsmass na boxing day zimeisha ila mwaka mpya nimekupa mualiko maana kwa mungu huko ahera hakuna siku kuu ya duniani tusherkee duniani kwa upendo wote
Kwa basi train hamna bhna karibu Makonde mbezi nearby Hall usinitupe lakiniMualiko wapi sasa nijue kabisa km napanda train au basi😂
Iblis Bin Shetan basi huwa tunaonana sana sema labda hatujuani maana me nahang sana hapo makondeKwa basi train hamna bhna karibu Makonde mbezi nearby Hall usinitupe lakini
Tena nikiwa na kazi zangu serious huwa napenda kukaa hapo masana sheli kwenye cafe ya signatureKwa basi train hamna bhna karibu Makonde mbezi nearby Hall usinitupe lakini
Mkuu wewe kabisa unajiita sheitwan mbingu utaiona kweli?Tunashkuru chirtsmass na boxing day zimeisha ila mwaka mpya nimekupa mualiko maana kwa mungu huko ahera hakuna siku kuu ya duniani tusherkee duniani kwa upendo wote
hahaha ibilis alikuwa anaitwa baba wa kusujuduMkuu wewe kabisa unajiita sheitwan mbingu utaiona kweli?
Hata leo nimepita hapo shell ya massana nilikuwa naenda gobaIblis Bin Shetan basi huwa tunaonana sana sema labda hatujuani maana me nahang sana hapo makonde
Kijiwe changu ni hko hapo Regina Hall then kwa Jerry nyuma kwenye car wash.
Leo nimepita ndio mitaa yangu hiyoTena nikiwa na kazi zangu serious huwa napenda kukaa hapo masana sheli kwenye cafe ya signature